Youda Fema
Member
- Feb 2, 2024
- 70
- 63
- Thread starter
- #21
Unashauri nini Kwa watu wenye Jina "Yuda", Je wafukuzwe Tanzania au wanyongwe????Nilipoona Jina lako tu nikaelewa uelekeo wa upeo wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashauri nini Kwa watu wenye Jina "Yuda", Je wafukuzwe Tanzania au wanyongwe????Nilipoona Jina lako tu nikaelewa uelekeo wa upeo wako.
Nimedharau post yako hapo uliposema ni chama kilichosifiwa na Magufuli.Kataa Kwa hoja, dhihaka ni dalili ya kukosa hoja.
Wew unadhan serikali na CCM ni nani Yuko juu ya mwenzake ????Sera haiwezi kuwa bora kama haijawahi kutekelezwa. Huwezi kupima ubora kwenye maandishi.
Kimsingi CCM inashindwa kuwa na sera bora kwa sababu inachanganya sera za serikali na sera za chama. Huwezi kutenganisha sera za serikali na sera za CCM.
Ili CCM iwe na sera nzuri ambazo zinaweza kutuvusha, ni lazima waje na sera mbadala ambazo ni tofauti na zile za serikali. Hata kama zitakuwa zinaendana ila haziwezi kufanana kama kurwa na doto.
Kimsingi CCM haina sera bali inatumia sera za serikali kama sera za chama.
SHIDA nanyi mmekuwa kama wanafunzi mnategemea sana boom Toka serikalini nje na utaratibu pambaneni hata mikutano tu hakuna
Mikutano inadanyika kigoma na namtumboInaonekana una zaidi ya mwaka Sasa hufuatilii siasa.
Asante dogoShenzi
MMikutano inadanyika kigoma na namtumbo
Asante dogo
Msije mkaniteka tu Sasa, maana ninyi CCM ndo mnachotegemea.Asante dogo
ACT imshukuru maalim Seif kujiunga nacho angalau ki
Mpwa, Mimi na CCM ni wapi na wapi??M
Msije mkaniteka tu Sasa, maana ninyi CCM ndo mnachotegemea.
Tatizo viongozi wake wamenunuliwaHakuna chama chochote Cha siasa nchini Tanzania kilicho na sera Bora zaidi ya ACT Wazalendo. Ndiyo chama pekee kilicho na sifa zifuatazo:
1. Kina azimio, linaloitwa Azimio La Tabora. CCM walikua na Azimio La Arusha, ila Sasa hawana.
2. Ndio chama pekee kinachoibua Changamoto za wananchi na kuzitolea Ufumbuzi wake.
3. Ni Chama pekee ambacho magufuli, alikisifia bungeni mwaka 2015 na 2020 kuwa viongozi wake hawana papara ya mambo, ila wanachakata mambo Kwa kina.
4. Ndio chama chenye mawaziri katika serikali Kwa 2020-2025 baada ya kuiondoa CUF katika nafasi yake, na chenyewe kushika hatamu Zanzibar.
5. ACT Wazalendo ni Chama kinachopokea wanachama wapya Kwa hoja, sio Kwa udanganyifu kama ilivyo chadema au Kwa ulaghai kama ilivyo CCM.
ACT Wazalendo; Taifa La Wote, Maslahi Kwa Wote, Mamlaka kamili.
Sidhani kama ulielewa comment yangu vizuri.Wew unadhan serikali na CCM ni nani Yuko juu ya mwenzake ????
..Tatizo ACT iko kwa maslahi ya Wapemba.
..ACT inarudia makosa ya CUF kutojali shida za Watanganyika.
Shida siyo sera nzuri. Waongoza chama ni watu gani? Wote ni wasaliti ambao wanaweza change anytime dau likiwekwa mezani
shida za watanganyika ni zipi?