The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kwenye kilele cha kutamba kwao ushindi wa asilimia 98 ilikuwa kawaida sana.
Ilikuwa Sherehe nchi nzima wakishatangazwa washindi.
Ungeweza fikiria ni kweli wanaungwa mkono Kwa asilimia 99.
Chama cha Baath nchini Iraq kilikuwa kimeshika hatamu kweli kweli.
Leo ni historia tu baada ya kufutwa na kupigwa marufuku.
Iraq haijapata tena ona chama kinachoshinda Kwa asilimia 99.
Sasa demokrasia imeshamiri na vyama mbali mbali vinatoa wabunge.
Na Serikali inaundwa wakati mwingine Kwa vyama mbalimbali kushirikiana.
Siku moja na huku yatafika
Ilikuwa Sherehe nchi nzima wakishatangazwa washindi.
Ungeweza fikiria ni kweli wanaungwa mkono Kwa asilimia 99.
Chama cha Baath nchini Iraq kilikuwa kimeshika hatamu kweli kweli.
Leo ni historia tu baada ya kufutwa na kupigwa marufuku.
Iraq haijapata tena ona chama kinachoshinda Kwa asilimia 99.
Sasa demokrasia imeshamiri na vyama mbali mbali vinatoa wabunge.
Na Serikali inaundwa wakati mwingine Kwa vyama mbalimbali kushirikiana.
Siku moja na huku yatafika