LGE2024 Hakuna Chombo cha Habari hata kimoja kilichohojiana na Mgombea aliyeenguliwa

LGE2024 Hakuna Chombo cha Habari hata kimoja kilichohojiana na Mgombea aliyeenguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Katika hali isiyo ya kawaida vyombo vya habari za Tanzania vimeripoti malalamiko ya Vyama vya upinzani kuhusu kuengeliwa kwa wagombea wao lakini hakuna chombo kilichothubutu kuhoji wagombea husika.

Wagombea waliopitishwa wanajulikana na wagombea waliokatwa majina yao sambamba na sababu za kukatwa zipo wazi na zinawezakufanyiwa uchambuzi. Je, ni kukosekana kwa maarifa miongoni kwa waandishi wa habari au wamepewa Katazo la kuonyesha udogo au ukubwa wa tatizo?

Lakini pia chadema na ACT kwanini wasiweke wazi taarifa za wagombea wao nchi nzima wakionyesha waliopitishwa na waliokatwa?

Technologia imekuwa tunataka vyama hivi ambavyo vina wasomi watoe taarifa waweke na maeneo walioenguliwa siyo kusema bila kutoa taarifa yenye vithibitisho. Leo hii kama matokeo ya shule ya msingi unayapata kiganjani kwanini vyama hivi visiweke wazi taarifa hizi kwa umma?

TUNATAKA TAARIFA ZENYE USHAHIDI SIYO MANENO MATUPU
 
Nchi hii imejaa watu waoga. Waandishi wa habari wanakimbiza mbawa zao
 
Katika hali isiyo ya kawaida vyombo vya habari za Tanzania vimeripoti malalamiko ya Vyama vya upinzani kuhusu kuengeliwa kwa wagombea wao lakini hakuna chombo kilichothubutu kuhoji wagombea husika.

Wagombea waliopitishwa wanajulikana na wagombea waliokatwa majina yao sambamba na sababu za kukatwa zipo wazi na zinawezakufanyiwa uchambuzi. Je, ni kukosekana kwa maarifa miongoni kwa waandishi wa habari au wamepewa Katazo la kuonyesha udogo au ukubwa wa tatizo?

Lakini pia chadema na ACT kwanini wasiweke wazi taarifa za wagombea wao nchi nzima wakionyesha waliopitishwa na waliokatwa?

Technologia imekuwa tunataka vyama hivi ambavyo vina wasomi watoe taarifa waweke na maeneo walioenguliwa siyo kusema bila kutoa taarifa yenye vithibitisho. Leo hii kama matokeo ya shule ya msingi unayapata kiganjani kwanini vyama hivi visiweke wazi taarifa hizi kwa umma?

TUNATAKA TAARIFA ZENYE USHAHIDI SIYO MANENO MATUPU
Waandishi nao ni wahanga wa utekaji wanaogopa.
 
Katika hali isiyo ya kawaida vyombo vya habari za Tanzania vimeripoti malalamiko ya Vyama vya upinzani kuhusu kuengeliwa kwa wagombea wao lakini hakuna chombo kilichothubutu kuhoji wagombea husika.

Wagombea waliopitishwa wanajulikana na wagombea waliokatwa majina yao sambamba na sababu za kukatwa zipo wazi na zinawezakufanyiwa uchambuzi. Je, ni kukosekana kwa maarifa miongoni kwa waandishi wa habari au wamepewa Katazo la kuonyesha udogo au ukubwa wa tatizo?

Lakini pia chadema na ACT kwanini wasiweke wazi taarifa za wagombea wao nchi nzima wakionyesha waliopitishwa na waliokatwa?

Technologia imekuwa tunataka vyama hivi ambavyo vina wasomi watoe taarifa waweke na maeneo walioenguliwa siyo kusema bila kutoa taarifa yenye vithibitisho. Leo hii kama matokeo ya shule ya msingi unayapata kiganjani kwanini vyama hivi visiweke wazi taarifa hizi kwa umma?

TUNATAKA TAARIFA ZENYE USHAHIDI SIYO MANENO MATUPU
Nchi imekuwa corrupt, kila Kitu hovyo!! Mpaka tutakapokuwa shida common problem itakayoyotuunganisha!! na tukisubiri hivyo tutakuwa tumeikosa na kuipoteza nchi yetu Tanzania!!!

Mzee Kikwete, Butiku, Warioba Jaji, karume ,Shein, Tafadhalini semeni na Mama Abdul!!

Tunaonananataka kuipeeka nchi shimoni!!!
 
Katika hali isiyo ya kawaida vyombo vya habari za Tanzania vimeripoti malalamiko ya Vyama vya upinzani kuhusu kuengeliwa kwa wagombea wao lakini hakuna chombo kilichothubutu kuhoji wagombea husika.

Wagombea waliopitishwa wanajulikana na wagombea waliokatwa majina yao sambamba na sababu za kukatwa zipo wazi na zinawezakufanyiwa uchambuzi. Je, ni kukosekana kwa maarifa miongoni kwa waandishi wa habari au wamepewa Katazo la kuonyesha udogo au ukubwa wa tatizo?

Lakini pia chadema na ACT kwanini wasiweke wazi taarifa za wagombea wao nchi nzima wakionyesha waliopitishwa na waliokatwa?

Technologia imekuwa tunataka vyama hivi ambavyo vina wasomi watoe taarifa waweke na maeneo walioenguliwa siyo kusema bila kutoa taarifa yenye vithibitisho. Leo hii kama matokeo ya shule ya msingi unayapata kiganjani kwanini vyama hivi visiweke wazi taarifa hizi kwa umma?

TUNATAKA TAARIFA ZENYE USHAHIDI SIYO MANENO MATUPU
Foharaaaaaa!!
 
Nchi imekuwa corrupt, kila Kitu hovyo!! Mpaka tutakapokuwa shida common problem itakayoyotuunganisha!! na tukisubiri hivyo tutakuwa tumeikosa na kuipoteza nchi yetu Tanzania!!!

Mzee Kikwete, Butiku, Warioba Jaji, karume ,Shein, Tafadhalini semeni na Mama Abdul!!

Tunaonananataka kuipeeka nchi shimoni!!!
Nchi hujengwa au kubomolewa na wananchi wenyewe.
Hii tabia ya kutegemea viongozi au watu wengine badala ya kila mmoja kukemea na kuchukua hatua kwa nafasi yake ndiyo changamoto.
Wananchi walio wengi wakiungana dhidi ya uhalifu, waovu wataogopa.
 
Nchi hujengwa au kubomolewa na wananchi wenyewe.
Hii tabia ya kutegemea viongozi au watu wengine badala ya kila mmoja kukemea na kuchukua hatua kwa nafasi yake ndiyo changamoto.
Wananchi walio wengi wakiungana dhidi ya uhalifu, waovu wataogopa.
Shukrani sana kiongozi kwa maoni yako kwenye uzi wangu, Bado tuna safari ndefu kidogo!!!
 
Back
Top Bottom