Binadamu atabuni starehe zake lakini ile ya pale kati ni kubwa lao....mbususu tamu nyie acheni tuu hasa upate ya mwanamke mrembo.Ni tam sana, bila hawa viumbe sisi ni nani mkuu...kuna mambo Mungu alicheza sana, kuleta utam ni moja ya mambo adimu alifanya🤣
Wee bwana hao matajiri hawasemagi the true source ya mambo yao.Maskini ndio wanaozaa sana, kanuni ya mafanikio ni kuamka 4:00 AM. Kulala saa 7 usiku. Maskini gani ataweza hii ratiba? Rejea video ya tajiri wa SuperFeo. Tajiri gani saa 05:00AM anakuwa amelala? Yaani usubiri cha asubuhi? Kupanga ni kuchagua, we chagua ngono ufurahishe nafsi yako, wengine watakuwa wanaendesha Rangerover wakati we unapambana na jasho pamoja na matusi ya wamama wa sokoni kwenye usafiri wa umma.
Naelewa Mengi alimwoa aliyekuwa miss Tanzania.Wee bwana hao matajiri hawasemagi the true source ya mambo yao.
Wee fanya kazi kwa juhudi ila usisahau kula mbususu za hawa warembo
Tumia akili mzeeMaskini ndio wanaozaa sana, kanuni ya mafanikio ni kuamka 4:00 AM. Kulala saa 7 usiku. Maskini gani ataweza hii ratiba? Rejea video ya tajiri wa SuperFeo. Tajiri gani saa 05:00AM anakuwa amelala? Yaani usubiri cha asubuhi? Kupanga ni kuchagua, we chagua ngono ufurahishe nafsi yako, wengine watakuwa wanaendesha Rangerover wakati we unapambana na jasho pamoja na matusi ya wamama wa sokoni kwenye usafiri wa umma.
Tajiri anakosa nguvu za kiume ila at keast ana pesa. Wewe masikini na huna nguvu za kiume. Unatetea ndoa yako kwa nguvu ya jero (dawa ya jero)
Uzi ufungwe.Hakuna mtu aliyekufa kwa kukosa nguvu za kiumbe ila wapo waliokosa kuishi kwa kukosa chakula.