Mlangaja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 579
- 218
Wenyewe wanataka kutukopesha majumba. Sisi tunataka kwenda shule, tunataka kuanzisha biashara. Hatutaki riba kwenye fedha yetu. Tunataka pesa bila riba. Haiwezekani nikakupa fedha yangu halafu nikulipe riba. Kwa maana najua hakuna mkopo wa nyumb usio na riba. Mimi ninataka fedha yangu kama ilivyo. Nikifilisika ni mimi. Wao ni nani hata wanionee huruma? Mbona watu wanaiba kwenye gesi na hawatuonei huruma? Fedha zetu zina nini? Watuonee huruma kwenye hili tu. Hebu waache kutuchezea akili zetu. Tunataka fedha zetu!