Hakuna freewill ya asilimia mia

Hakuna freewill ya asilimia mia

Lager

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
395
Reaction score
1,085
downloadfile-1.jpg


Tangu tumekuwa katika hii sayari tumekuwa tukifikiri Kuna hichi kitu "Freewill!".
Ukweli mchungu ni huu,mazingira hayajatupa hiyo nafasi yakuwa na uhuru wa maamuzi ktk kila kitu ama kwa asilimia mia!.

Unayo nafasi ya kupumua ila hauna nafasi ya kupumua milele yote!,unayo nafasi ya kufa ila hauna nafasi ya kufufuka pale utakapotaka!.
Hata kula vivyohivyo!
Huo Uhuru wa kuamua tunachotaka ulishapangwa na mazingira ila hivi sasa yamebaki machaguo kutokana na vile ulivyo.
Kinachoniumiza kichwa ni aidha na hayo mazingira yalichagua tuwe hivi au nayenyewe hayakuwa huru katika kutuumba??.

Napata mashaka hata kuuweka uhuru tulionao ktk namba maana naona kama ktk uwanja huu wa boxing ktk freewill tumeshagalagazwa hata sisi hatujui!.
Unatafuta chakula ule ukijua hilo ni hitaji lako unalotakiwa kulitafuta,lakini ukweli ni kuwa system tulizowekewa ndio zinatutaka tule!.
Sina shida na hilo shida iliyopo ni sisi kufikiria tuna freewill lakini kumbe hatuna Uhuru wa moja kwa moja ila ni Uhuru Kama sub topic yaani UHURU halafu (uhuru),sisi tupo kwenye mabano.

Sipo hapa kwaajili ya kukashifu Uhuru tulionao au ambao hatuna ila kwaajili tu ya kukumbushana!.
Na ukweli mchungu ni kuwa pamoja na huu uhuru tulionao wa kwenye mabano bado pia unahitaji mabano ili mambo yaende sawia.

Ni akili halisi tu ndo inaweza kuelewa andiko hili na wala sio zile zilizokwenye mabano!,ktk haya maisha yetu hakikisha unakuwa na uhuru halisi wa kimazingira na sio ule wa kutaka kupumulia macho nawakati pua ipo.

Hata ulimwengu wetu unaongozwa na sheria na ndio maana wanadamu mpaka leo bado tunaufatilia ulimwengu ili tuweze kuzijua sheria hizo na tufumbuke zaidi.
 
Mimi binafsi NImeridhika andiko umelitendea haki nali rate 9/10....ongezea nyama itapendeza mkuu.
Mkuu mengine utaongeza kwa tafakari zako ni andiko linalokutaka ufikiri pia.
 
Wengine bongo bahati mbaya tu tulitaka tuzaliwe hata America huko hapa naona tulilazimishwa kungekuwa na freewill ya kujichagulia uzaliwe wapi ningekuwa zangu america au ulaya.
Huwenda hata Kuna sehemu best kushinda ulaya ndugu ulimwengu ni Mpana sana ukute Kuna sayari zina uhai na ziko zinamaendeleo hayapimiki!.
 
Vichwa tofari hawatakuelewa, Mimi nadhani freewill ipo ila ni limited! kuna baadhi ya mambo ambayo tumethibiwa tusiyafanye hata kama tukitaka kuyafanya, mambo yote binadamu tunayafanya yamewekwa katika vipindi tofauti vya Muda.

Kwa mfano inawezekana kabisa ungekuja miaka 4500 iliyopita na freewill yako ikataka kuvumbua umeme, ungeishia kugonga mwamba maana Freewill ya binadamu ni limited.

hatuna ruhusa ya kufanya kila kitu, na kila jambo linatokea na kufanyika pale muda unapokuwa sahihi jambo hilo kufanyika.
 
Mimi kuna siku Nilibet mikeka kumi. Katika mikeka ile nilichukua timu zenye odds zinazozidi 16 ndizo nikazipa ushindi. kwa kawaida timu zinazopewa odds kubwa kiasi hicho huwa ni nadra sana kushinda. basi nikaweka 40000 kwenye kila mkeka.

Jambo la kushangaza nilipofika kwenye timu ambayo ilishinda siku hiyo ambayo ilikuwa na odds 26 badala ya kubet 40000 kama nilivyobet mikeka mingine, nikakosea nikaweka Tsh! 400[emoji23].

Nilivyomaliza kubet ile mikeka kumi nikaona kuna hela imebaki tsh 39600! nikawaza huenda nimepewa kama bonus na muhindi, Ile hela nikatafuta Timu nyingine yenye odds 15 nikaipa.

Jioni matokeo yalipotoka nilishangaa sana! Ile timu niliyokosea nikabet kwa tsh 400 ndo ikashinda! na nyingine zote zikabondwa!

Hapo ndipo nilianza kuwaza kuwa huenda binadamu hatupo huru sana kama tunavyofikiria!
 
Huwenda hata Kuna sehemu best kushinda ulaya ndugu ulimwengu ni Mpana sana ukute Kuna sayari zina uhai na ziko zinamaendeleo hayapimiki!.

Sio tu sayari nzuri


Huenda Katika kipindi kirefu Cha maisha ya UMILELE(Un-Ending existence) na Mungu mbinguni.

Yaani nazungumzia maisha baada ya mambo yote ya kinabii kutimia.

Kama vile Kila mtu kulipwa mshahara kutokana na matendo yake duniani(yaani day of judgment),wenye dhambi wakatupwa kwenye ziwa la moto,na shetani na vikosi vyake kutupwa kwenye ziwa la moto Kwa ajili ya kuteswa na wanadamu katiki pindi kisichokuwa na mwisho( Un-Ending existence kwenye ziwa la moto ),na dunia yetu ku-kunjwa Kama karatasi na kutupwa kwenye ziwa la moto

Na baada ya Mungu kufanya mwanzo mpya wa maisha ya Watoto wake walio kuwa watiifu na kuishi maisha matakatifu waliookuwa duniani na Mungu kuishi na wanadamu Milele

Soma kitabu Cha :

ufunuo 21:3-5 ,NAYO inasema,

3 Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.

4 Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

5 Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.




Baadaye Sana huko kwenye maisha yasio kuwa na mwisho yaani Un-Ending existence

Huko kipindi Cha mbeleni Sana in heaven

Kuna Uwezekano wa MUNGU kuumba 1000,000,000,000,000 of UNIVERSES na zaidi

Yaani huko mbeleni Sana Mungu anaweza kuumba limwengu za anga zinginezo billions zaidi na za ajabu zaidi na kubwa Mara maelfu ya hii tulio NAYO now,ambayo inawasumbua NASA kuumiza kichwa kuitafit,i .

Na akawamilikisha wanae yaani wacha Mungu.

Ndio maana watu mnahimizwa kutenda mema kuishi Katika utakatifu maana hamjui mangapi Mungu amewaandaria,kwenye maisha ambayo ni Un-Ending existence.

Na Makao makuu ya hizo universes zote ni kwenye mbingu yake.


Hili ni wazo ambalo limenijia baada ya kuwa kwenye tafakari ya kina ya kutafakari ukuu wa Mungu baada ya kusoma

Maandiko haya mawili,

Mwanzo 1:1
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu (universe) na nchi.

Na andiko la pili ni

Ufunuo 20:11
11 Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu(yaani universe) zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.[\B]

Kwenye andiko la kwanza

Mwanzo1:1
inamthibitisha Mungu , kuwa Kwa namna ya ajabu aliumba universe(s).

Ambayo NASA wanapoteza muda wao, na gharama zao kuitafiti.

Na

ufunuo 20:11

Tunaoneshwa kuwa hiyohiyo universe wanayoiangaikia kutwa nzima NASA , ambayo wakina Elon musk wanaisumbukia na makampuni mengine, kiutafiti.

Ajabu Kwa Mungu inampisha , yaani Kwa namna nyingine Mungu anaweza kuikunja Kama karatasi hii universe au kuipoteza hii universe Kama upepo

Wacha Mungu aitwe Mungu

Ushauri.

Utunzeni utakatifu,maana yajayo yanafurahisha.
 
View attachment 2088250

Tangu tumekuwa katika hii sayari tumekuwa tukifikiri Kuna hichi kitu "Freewill!".
Ukweli mchungu ni huu,mazingira hayajatupa hiyo nafasi yakuwa na uhuru wa maamuzi ktk kila kitu ama kwa asilimia mia!.

Unayo nafasi ya kupumua ila hauna nafasi ya kupumua milele yote!,unayo nafasi ya kufa ila hauna nafasi ya kufufuka pale utakapotaka!.
Hata kula vivyohivyo!
Huo Uhuru wa kuamua tunachotaka ulishapangwa na mazingira ila hivi sasa yamebaki machaguo kutokana na vile ulivyo.
Kinachoniumiza kichwa ni aidha na hayo mazingira yalichagua tuwe hivi au nayenyewe hayakuwa huru katika kutuumba??.

Napata mashaka hata kuuweka uhuru tulionao ktk namba maana naona kama ktk uwanja huu wa boxing ktk freewill tumeshagalagazwa hata sisi hatujui!.
Unatafuta chakula ule ukijua hilo ni hitaji lako unalotakiwa kulitafuta,lakini ukweli ni kuwa system tulizowekewa ndio zinatutaka tule!.
Sina shida na hilo shida iliyopo ni sisi kufikiria tuna freewill lakini kumbe hatuna Uhuru wa moja kwa moja ila ni Uhuru Kama sub topic yaani UHURU halafu (uhuru),sisi tupo kwenye mabano.

Sipo hapa kwaajili ya kukashifu Uhuru tulionao au ambao hatuna ila kwaajili tu ya kukumbushana!.
Na ukweli mchungu ni kuwa pamoja na huu uhuru tulionao wa kwenye mabano bado pia unahitaji mabano ili mambo yaende sawia.

Ni akili halisi tu ndo inaweza kuelewa andiko hili na wala sio zile zilizokwenye mabano!,ktk haya maisha yetu hakikisha unakuwa na uhuru halisi wa kimazingira na sio ule wa kutaka kupumulia macho nawakati pua ipo.

Hata ulimwengu wetu unaongozwa na sheria na ndio maana wanadamu mpaka leo bado tunaufatilia ulimwengu ili tuweze kuzijua sheria hizo na tufumbuke zaidi.

Kila kitu na kila jambo duniani lina “context” au “muktadha” kwa Kiswahili. Hii inaweka mipaka ya asili katika yote. Hivyo, uhuru wa kuamua na kutenda hupimwa kwenye mipaka ya muktadha. Hapo tena hakuna hoja ya kutokuwepo uhuru.

Pale mipaka ya “kuchongwa” inapoongezwa (nje ya natural context) say kwa nguvu za kidikteta ndipo hoja ya uhuru inapojitokeza.
 
Free will hatuna hata kidogo kama raiyaa wa kawaida ila kunao wachache ambao wako nayo...shule ni Cha lazima, ushuru upende usipende, chanjo lazima nk.

Limitation ya free will ilianzia hapa
“ You May Eat of every tree of the garden EXCEPT of the tree of the Knowledge of Good and Evil”

Hata Mungu Mwenyewe Amejiwekea Limitations Kwenye baadhi ya Mambo kwa Yeye Mwenyewe kutaka Mwenyewe

Kwa mfano Mungu hawezi kusema Uongo maana imeandikwa “ Mungu si Mtu mpaka adanganye “ na mengine kadha wa kadha
 
View attachment 2088250

Tangu tumekuwa katika hii sayari tumekuwa tukifikiri Kuna hichi kitu "Freewill!".
Ukweli mchungu ni huu,mazingira hayajatupa hiyo nafasi yakuwa na uhuru wa maamuzi ktk kila kitu ama kwa asilimia mia!.

Unayo nafasi ya kupumua ila hauna nafasi ya kupumua milele yote!,unayo nafasi ya kufa ila hauna nafasi ya kufufuka pale utakapotaka!.
Hata kula vivyohivyo!
Huo Uhuru wa kuamua tunachotaka ulishapangwa na mazingira ila hivi sasa yamebaki machaguo kutokana na vile ulivyo.
Kinachoniumiza kichwa ni aidha na hayo mazingira yalichagua tuwe hivi au nayenyewe hayakuwa huru katika kutuumba??.

Napata mashaka hata kuuweka uhuru tulionao ktk namba maana naona kama ktk uwanja huu wa boxing ktk freewill tumeshagalagazwa hata sisi hatujui!.
Unatafuta chakula ule ukijua hilo ni hitaji lako unalotakiwa kulitafuta,lakini ukweli ni kuwa system tulizowekewa ndio zinatutaka tule!.
Sina shida na hilo shida iliyopo ni sisi kufikiria tuna freewill lakini kumbe hatuna Uhuru wa moja kwa moja ila ni Uhuru Kama sub topic yaani UHURU halafu (uhuru),sisi tupo kwenye mabano.

Sipo hapa kwaajili ya kukashifu Uhuru tulionao au ambao hatuna ila kwaajili tu ya kukumbushana!.
Na ukweli mchungu ni kuwa pamoja na huu uhuru tulionao wa kwenye mabano bado pia unahitaji mabano ili mambo yaende sawia.

Ni akili halisi tu ndo inaweza kuelewa andiko hili na wala sio zile zilizokwenye mabano!,ktk haya maisha yetu hakikisha unakuwa na uhuru halisi wa kimazingira na sio ule wa kutaka kupumulia macho nawakati pua ipo.

Hata ulimwengu wetu unaongozwa na sheria na ndio maana wanadamu mpaka leo bado tunaufatilia ulimwengu ili tuweze kuzijua sheria hizo na tufumbuke zaidi.


"Free will" ni katika kutenda mema au mabaya na si vinginevyo.
 
Limitation ya free will ilianzia hapa
“ You May Eat of every tree of the garden EXCEPT of the tree of the Knowledge of Good and Evil”

Hata Mungu Mwenyewe Amejiwekea Limitations Kwenye baadhi ya Mambo kwa Yeye Mwenyewe kutaka Mwenyewe

Kwa mfano Mungu hawezi kusema Uongo maana imeandikwa “ Mungu si Mtu mpaka adanganye “ na mengine kadha wa kadha
Hakuna sheria zinazomkomandi awe hivyo??
Na kwanini iwe hivyo sasa au Kuna sheria za kiulimwengu bado hatujazijua??
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Limitation ya free will ilianzia hapa
“ You May Eat of every tree of the garden EXCEPT of the tree of the Knowledge of Good and Evil”

Hata Mungu Mwenyewe Amejiwekea Limitations Kwenye baadhi ya Mambo kwa Yeye Mwenyewe kutaka Mwenyewe

Kwa mfano Mungu hawezi kusema Uongo maana imeandikwa “ Mungu si Mtu mpaka adanganye “ na mengine kadha wa kadha
Tumeumbwa Kwa mfano wake so basically Mungu ni muongo, muuaji, mwenye hasira, wivu Yani basically every flaw found on human beings defines God.
 
Free will hakuna duniani haitotokea na endapo itakuja kutokea inaonyesha wazi wazi mungu anajichanganya anatunga sheria za ulimwengu ambazo zinapingana halafu anataka ziwe sawa
Kabla ya yote free will tunamaanisha uhuru wa nafsi katika kuchagua kufanya mema au mabaya swali je nani alileta mabaya?
Je Kati ya mtu na mabaya kipi kilianza kuumbwa?
Utakuja kuona mungu alianza kuumba Ubaya kabla ya kuumba mtu hivyo basi kwa vyovyote mambo mabaya lazima yawepo kwakuwa Ubaya ulianza kuumbwa rejea isaya " I form the light and creat darkeness ,I make peace and creat evil" isaya 45:7
Swali Je unamuhukumu vipi Yuda kwa kuchukua vipande vya dhahabu wakati tukio hilo lilishapangwa kuwa Yuda atakuja kumsaliti Yesu ?
Kwanini mungu aliumba uovu je alishindwa kuumba ulimwengu usiokuwa na mabaya na uovu ? Akaenda mbali zaidi akamuumba shetani wakati alijua huyu jamaa ataasi yaan akamuumba shetani na uovu na mabaya halafu anataka watu wawe wema ? Utakuja kuona hapa mungu anajichanganya huwezi kuanza kuumba mabaya na uovu na shetani juu halafu utegemee watu wawe wema
 
Back
Top Bottom