Uchaguzi ujao Rais hatabadilika labda utokee muujiza au kwa mapenzi ya Mungu. Bunge litabadilika sana. Kwangu mimi hii ni hatua kubwa kuelekea kuing'oa CCM madarakani. Tusiiache nafasi hii ipite. Udhaifu wa Rais tulienae kwa sasa ukitumika vizuri mabadiliko yatakuwepo.