Hakuna haja ya Uchaguzi 2010!

OYA MKUU.

UCHAGUZI MUHIMU KWANI WENGINE TUNATAKA KUUZA SURA TU. matokeo tunayajua.
 
Hivi nae anajua kwamba ni dhaifu? Je hana washauri?
Hivi watanzania wa kawaida waliopo vijijini(ambao ndio wengi zaidi, na wanainfluence matokeo matokeo wakati wa uchaguzi) wana upeo wa kutambua/kuhisi udhaifu wake?
Je hatawakitambua jamaa ni dhaifu lakini wakapewa T-Shirt, kofia na Khanga za CCM (au mwakani hazitagaiwa sababu hamna hela za EPA?) unadhani watamsahau mgombea wa CCM siku ya kupiga kura?
Bado tunasafari ndefu wadanganyika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…