Tetesi: Hakuna hata senti tano imepotea ukweli huu hapa

Tetesi: Hakuna hata senti tano imepotea ukweli huu hapa

Kwa hiyo zile hesabu za homphey pole pole yapo vile vile ama.
 
Napata wakt mgumu nikimfikiria CAG,kama n mteule wa rais tu wanamwandama hivi ingekuwaje kama CAG aketokea au angeteuliwa na upinzani...mngelikwisha mteka na kumwua zamani
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
Kawadanganye wa chatto uko, wewe unatetea mpaka mavi unasema yana harufu nzuri na wewe ni msukuma chatto,naona unajitaidi sana kuhalalisha uwongo, tunataka tln 2.4 zetu, majoz lazima yateteane
 
Napata wakt mgumu nikimfikiria CAG,kama n mteule wa rais tu wanamwandama hivi ingekuwaje kama CAG aketokea au angeteuliwa na upinzani...mngelikwisha mteka na kumwua zamani
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
Sawa mkaguzi wa hesabu za sirini, ambaye umekuja na jibu kuwa zile fedha zisizojulikana zimetumikaje kuwa zimetumika kwa masuala ya siri yasiyofaa kutangazwa. Buku saba oyeeeeh!
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee

Kabla hujafika UK, ukivua nguo tu, kabla ya kuanza kuharisha utakuwa ushafanywa kitu mbaya
 
Mwanzo walisema zimeenda Zanzibar leo wanadai zimeenda kununua vifaru!

Kwani kipindi cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK tulikuwa hatunui vifaru?

Mbona kulikuwa hakuna Taarifa mbaya za kiasi hiki?
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
Naweza kukuamini kwani hata Ben ulimtabiria yaliyomtokea na jinsi yatakavyomtokea na yakamtokea kabla ya kuwika jogoo!
Hivi unaamini bado kuna wajinga nchi hii? Jeshi lina bajeti yake na kweli linaitendea haki na kama walihitaji ziada wangefuata taratibu za kibajeti! Usiwasingizie!
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee

Wewe Jamaa nikiona comment yako na jina lako natetemeka sana, yaani huwa na hisi wewe hutakuja kufa wala kupata ugonjwa wowote.Tangu nione ulivyo mwambia Benn Sanane halafu yote uliyo mwambia yakatokea yakamtokea na mpaka sasa hatumuoni! ..Na juzi tena ume mwambia LISSU maneno yale yale!

Yaani Mungu wa mbinguni kama aishivyo na nisaidie kubadilika! DAMU NI NZITO
 
Back
Top Bottom