Hakuna kitu
humfanya
mwanaume awe
Makini zaidi kama
pale nywele za
sehemu nyeti
zikishikana na Uzi
wa kwenye
boxer....unaeza
dhani anatenganisha
nyaya za bomu
Tafadhari mods naomba wapeleke jukwaa la utani aisee.
Au zipu imbane kichwa cha uume wakati unaifunga kwa haraka. Na zipu iwe ya jinzi... hapo ndio utaona unyenyekevu wa mwanaume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.