HAKUNA KAMA TANZANIA

Nilisema unafurahia vifo halafu ukakanusha.

That's cold ,that' s very sadistic and inhuman kuona mwenzako akiteseka unapata pleasure.
Daaah kaka umeona jamaa anavyotukandia??!!!!
Halafu hii ni behind keyboard tu wala reality sio hvyo.
 
Sasa wapinga nn na wakati hyo picha ilisambaa hapa jf..tena imeandikwa kw wino mwekundu km sikosei...

Waliosomea kenya
ACHA UNAFIKI ULIOKITHIRI.
NAFASI ZA UALIMU HUTANGAZWA KTK RADIO NA TV STATIONS SIO MABANGO PUNGUZA UWAZIMU.
 
Sasa wapinga nn na wakati hyo picha ilisambaa hapa jf..tena imeandikwa kw wino mwekundu km sikosei...

Waliosomea kenya
Napinga.
Maana mashule makubwa yoooteeee uyajuayo ww kwa hapa Tz Yemeni,Almuntazir,Alharamain,Alhikma,Daarul Arqam,Al Hisan,Saint Anne,Saint Marrys,Saint Antonny n.k n.k yanatangaza nafasi za ualimu maredion na kwenye runinga.
Tusidanganyane.
 
Angalia wenzako hku kwanzahttps://www.facebook.com/255954351135233/posts/2597812810282697/?app=fbl
Napinga.
Maana mashule makubwa yoooteeee uyajuayo ww kwa hapa Tz Yemeni,Almuntazir,Alharamain,Alhikma,Daarul Arqam,Al Hisan,Saint Anne,Saint Marrys,Saint Antonny n.k n.k yanatangaza nafasi za ualimu maredion na kwenye runinga.
Tusidanganyane.
 
Angalia wenzako hku kwanzahttps://www.facebook.com/255954351135233/posts/2597812810282697/?app=fbl
Unanieletea link gani za kityotyoooo??!!!!!!
FB??!!!!!!
Hata haifunguki halafu siitumii mimi hzo mambo.
Wewe leta hapa reliable source nione vema.
 
Watu wafurika dar...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kw ajili ya mikopo
Unanieletea link gani za kityotyoooo??!!!!!!
FB??!!!!!!
Hata haifunguki halafu siitumii mimi hzo mambo.
Wewe leta hapa reliable source nione vema.
 
Daaah kaka umeona jamaa anavyotukandia??!!!!
Halafu hii ni behind keyboard tu wala reality sio hvyo.
No its the other way round.
Nyie hapa behind the keyboard mko kama wanyama hamna utu mnapenda sana kuona vifo,njaa ,vurugu ,kuzorota kwa uchumi Kenya na mnapenda Kibera sana hadi mnaabudu hicho kitongoji.
Mtanzania yule pekee naweza kuamini ni jamaa moja tu Mhaya aliyejiita Mushubilwa niliishi na yeye.Hao wengine wote ni wa kuotea mbali hata Nyerere mwenyewe alitusi waKenya mara mingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…