Elections 2015 Hakuna kifungu cha sheria kinachomruhusu mpiga kura kukaa nje ya mita 200 toka kituoni akilinda kura

Elections 2015 Hakuna kifungu cha sheria kinachomruhusu mpiga kura kukaa nje ya mita 200 toka kituoni akilinda kura

KAOROGOMA

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2015
Posts
511
Reaction score
773
Wasomi Wetu Wananishangaza Sana, Unakutwa Mtu Anajiita Mwanasheria Wakati Hata Baadh Ya Sheria Hazijui, Nina Mashaka Sana Kama Waafrika Tutaacha Uzembe Wa Kujisomea Maandiko Mbalimbali.

Sheria INARUHUSU MTU KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KAWAIDA KWA UMBALI WA MITA 200 KUTOKEA KITUO CHA KUPGA KURA ,NA SI KUKUSANYIKA PALE KULINDA KURA, ANAYERUHUSIWA KUKAA PALE KITUON KULINDA NA KUHAKIKI KURA NI WAKALA WA CHAMA HUSIKA;

MAONI: Natoa wito TAKUKURU wasambaze maafisa wao kila kituo cha kupigia kura na wakae ndani, maana hata mkikaa kundi nje eti mnalinda kura haisaidii kama wakala wenu ana matatizo chungu nzima, ada ya watoto, kodi, madeni, halafu apatiwe milioni 10, kubadili matokeo, tena anahamishiwa kwa Mpesa hapo chumbani sijui kama anaweza kukataa, na mtakaokuwa mita 200 ndo nashangaa mtajuaje hiyo, nakushauri Mbowe tumia akili hiyo.
 
hiyo TAKUKURU unayoizungumzia inatokea nchi Gani? kwani hao maofisa wa takukuru hawana shida zinazofanana na za mawakala?

MAWAKALA WANAKUWEPO pia takukuru wawepo, itakuwa si rahis sana kuhonga pande zote mbili
 
Akili zako zinafana na jina lako kweli kweli, kama Ne, mawakala hawaamaniki hao Takukuru ndio nani atawaamini?
Kuna ubaya gani mtu akipiga kura na kukaa umbali wa mita 200 kusubiri matokeo ya diwani, mbunge na rais aliemchagua?
Wataokaa kusubiri matokeo sio wafuasi wa Ukawa tu bali hata wa Ccm, so kiujumla ni wananchi
Wapewe haki yao
 
Wasomi Wetu Wananishangaza Sana, Unakutwa Mtu Anajiita Mwanasheria Wakati Hata Baadh Ya Sheria Hazijui, Nina Mashaka Sana Kama Waafrika Tutaacha Uzembe Wa Kujisomea Maandiko Mbalimbali,
Sheria INARUHUSU MTU KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KAWAIDA KWA UMBALI WA MITA 200 KUTOKEA KITUO CHA KUPGA KURA ,NA SI KUKUSANYIKA PALE KULINDA KURA, ANAYERUHUSIWA KUKAA PALE KITUON KULINDA NA KUHAKIKI KURA NI WAKALA WA CHAMA HUSIKA,;

MAON; natoa wito TAKUKURU wasambaze maafisa wao kila kituo cha kupgia kura na wakae ndani, maana hata mkikaa kundi nje eti mnalinda kura haisaidii kama wakala wenu ana matatizo chungu nzima, ada ya watoto ,kodi, madeni, alafu apatiwe milion 10, kubadili matokeo, tena anahamishiwa kwa mpesa hapo chumbani sijui kama anaweza kukataa, na mtakaokuwa mita 200 ndo nashangaa mtajuaje hyo, nakushauri mbowe tumia akili hyo,

Kwa hiyo kuna sheria inayozuia watu kukusanyika.

Je ni shughuli zipi zimetajwa kama za kawaida?

Je kusubiri matokeo, kuna maeneo mahsusi yametajwa?

Hayo matokeo yanayobandikwa kituoni wa kuyasoma ni nani?

Wakikusanyika watu hapo kituoni kusoma matokeo wamevunja sheria?

Au kuna utaratibu utakaoruhusu tu mtu moja moja kutazama matokeo!

Idadi gani ya watu inaitwa mkusanyiko; wawili, watano, ishirini, mia au elfu
 
**** kifungu gani kinachokataza kutolinda kura?
 
Kwa hiyo kuna sheria inayozuia watu kukusanyika.

Je ni shughuli zipi zimetajwa kama za kawaida?

Je kusubiri matokeo, kuna maeneo mahsusi yametajwa?

Hayo matokeo yanayobandikwa kituoni wa kuyasoma ni nani?

Wakikusanyika watu hapo kituoni kusoma matokeo wamevunja sheria?

Au kuna utaratibu utakaoruhusu tu mtu moja moja kutazama matokeo!

Idadi gani ya watu inaitwa mkusanyiko; wawili, watano, ishirini, mia au elfu


Ndiyo kuna Sheria inayozuia watu kukusanyika bila ya sababu, Serikali ndiyo yenye jukumu la kuamua ni ipi sababu inayoruhusiwa kukusanyika na wapi ni sawa kukusanyika na wapi siyo sawa, kama yalivyo mambo mengi tu!

Baada ya matokeo kubandikwa watu wanaruhusiwa kwenda kuyasoma kinachokatazwa ni kukusanyika kukaa na kusubiri!

Mwisho hii ni Amri kutoka kwa Raisi wa JMTZ ambayo kwa kawaida haipaswi kupingwa na binadamu yoyote yule ndani ya TanZania na wewe unapaswa kutii tu bila shurti, ni rahisi kihivyo tu!
 
Ndiyo kuna Sheria inayozuia watu kukusanyika bila ya sababu, Serikali ndiyo yenye jukumu la kuamua ni ipi sababu inayoruhusiwa kukusanyika na wapi ni sawa kukusanyika na wapi siyo sawa, kama yalivyo mambo mengi tu!

Baada ya matokeo kubandikwa watu wanaruhusiwa kwenda kuyasoma kinachokatazwa ni kukusanyika kukaa na kusubiri!

Mwisho hii ni Amri kutoka kwa Raisi wa JMTZ ambayo kwa kawaida haipaswi kupingwa na binadamu yoyote yule ndani ya TanZania na wewe unapaswa kutii tu bila shurti, ni rahisi kihivyo tu!

Umemjibu Vema Sana
 
hakuna kifungu cha sheria kinachomruhusu mpga kura kukaa nje ya mita 200 toka kituon akilinda kura,


Swali
kunakifungu cha sheria kinachomzuia mpiga kura kukaa nje ya mita 200?

Kama kipo mleta hoja kiweke hapa

Kama hakipo basi hii mada/thread ni upuuzi wa kupuuzwa.
 
Wasomi Wetu Wananishangaza Sana, Unakutwa Mtu Anajiita Mwanasheria Wakati Hata Baadh Ya Sheria Hazijui, Nina Mashaka Sana Kama Waafrika Tutaacha Uzembe Wa Kujisomea Maandiko Mbalimbali,
Sheria INARUHUSU MTU KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KAWAIDA KWA UMBALI WA MITA 200 KUTOKEA KITUO CHA KUPGA KURA ,NA SI KUKUSANYIKA PALE KULINDA KURA, ANAYERUHUSIWA KUKAA PALE KITUON KULINDA NA KUHAKIKI KURA NI WAKALA WA CHAMA HUSIKA,;

MAON; natoa wito TAKUKURU wasambaze maafisa wao kila kituo cha kupgia kura na wakae ndani, maana hata mkikaa kundi nje eti mnalinda kura haisaidii kama wakala wenu ana matatizo chungu nzima, ada ya watoto ,kodi, madeni, alafu apatiwe milion 10, kubadili matokeo, tena anahamishiwa kwa mpesa hapo chumbani sijui kama anaweza kukataa, na mtakaokuwa mita 200 ndo nashangaa mtajuaje hyo, nakushauri mbowe tumia akili hyo,

Kwani sheria hiyo inakataza moja ya shughuli zako ambazo imekuambia unaweza kuendelea nazo kuwa na kulinda kura? Kama umeamua moja ya shughuli zako siku hiyo kuwa ni kulinda kura, je sheria inazuwia hilo?
 
Ndiyo kuna Sheria inayozuia watu kukusanyika bila ya sababu, Serikali ndiyo yenye jukumu la kuamua ni ipi sababu inayoruhusiwa kukusanyika na wapi ni sawa kukusanyika na wapi siyo sawa, kama yalivyo mambo mengi tu!

Baada ya matokeo kubandikwa watu wanaruhusiwa kwenda kuyasoma kinachokatazwa ni kukusanyika kukaa na kusubiri!

Mwisho hii ni Amri kutoka kwa Raisi wa JMTZ ambayo kwa kawaida haipaswi kupingwa na binadamu yoyote yule ndani ya TanZania na wewe unapaswa kutii tu bila shurti, ni rahisi kihivyo tu!

Hiyo ni kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama chenu.
 
Au kwamba tume imefunga radio majimbo yote kwamba kila yakitoka yatawatangazia wapiga kura wa jimbo ilo matokeo. na nini umuhimu wa kutangaza matokeo kama wahusika mmewafukuza wakae majumbani mwao? Hiyo waliona wapi duniani wapiga kura wanamaliza kuiga kura wanatimliwa kwenda kulala majumbani mwao? Kwani wakikusanyika na kupiga story sheria ipi inakataza? Maana Katiba inaruhusu watu kwenda mahali popote wanakotaka mradi hawavunji sheria ya nchi.
Kwa hiyo kuna sheria inayozuia watu kukusanyika.

Je ni shughuli zipi zimetajwa kama za kawaida?

Je kusubiri matokeo, kuna maeneo mahsusi yametajwa?

Hayo matokeo yanayobandikwa kituoni wa kuyasoma ni nani?

Wakikusanyika watu hapo kituoni kusoma matokeo wamevunja sheria?

Au kuna utaratibu utakaoruhusu tu mtu moja moja kutazama matokeo!

Idadi gani ya watu inaitwa mkusanyiko; wawili, watano, ishirini, mia au elfu
 
Ndiyo kuna Sheria inayozuia watu kukusanyika bila ya sababu, Serikali ndiyo yenye jukumu la kuamua ni ipi sababu inayoruhusiwa kukusanyika na wapi ni sawa kukusanyika na wapi siyo sawa, kama yalivyo mambo mengi tu!

Baada ya matokeo kubandikwa watu wanaruhusiwa kwenda kuyasoma kinachokatazwa ni kukusanyika kukaa na kusubiri!

Mwisho hii ni Amri kutoka kwa Raisi wa JMTZ ambayo kwa kawaida haipaswi kupingwa na binadamu yoyote yule ndani ya TanZania na wewe unapaswa kutii tu bila shurti, ni rahisi kihivyo tu!


Huu ni ugonjwa wa akili.

Hatuongozwi kwa matakwa ya rais anapenda nini hapana.

Tunaongozwa na sheria mama KATIBA

Rais anaongoza nakutawa kwa mujibu wa sheria na kama rais anapaswa kuzisimamia na kuzilinda sheria zote kwa weledi na kwa kuzingatia katiba ya JMT

Rais hana mamlaka yakuamua kinyume na sheria ndo maana tuna

Serikali

mahakama

Bunge

Kila mmoja nawajibu wake.

Huo uliouandika hapo juu ni upuuzi na naanza kuelewa umuhim wa maneno ya mh Lowasa kwamba kipaumbele 1-3 ni

1. Elimu
2. Elimu
3. Elimu
 
Back
Top Bottom