SifanyiFanya mazoezi na diet mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nitanunua Vitz kwa kuepuka kero yenu
Hahahhahah hii ilinikuta jana jamani yule baba mnene yaan alinibanaWale wenzangu wanaotumia usafiri wa Uma watanielewa kuhusu hili,
Hakuna kero kama kukaa siti moja na mtu mnene(bonge) kwenye dala dala,maana siti yote utakuta kaenea yeye tu mpaka kwenye siti yako wewe unakaa tako moja tu,
inakera zaidi pale ukimwambia asogee anakutazama kwa dharau ni kero sana,
Kila mtu analipia nauli sawa na kila mtu ana siti yake lakini wao wanakula mpka nusu ya siti yako,kwa nini ukijona mnene(bonge) usikate siti ya watu wawili ili ukae kwa kujinafasi bila kukwaza wengine?
Hahahhah ebu ukoNa wewe na chura yako umejikuta unakaa tako moja tu.
Bila shaka utakuwa bongeSi ajabu na yeye huwa anakuona kama una mkera tu.
Kiufupi hakuna binadamu asiye kera hata wewe kuna sehemu unawakera wengine.
Kikubwa tuvumiliane.
huwa napenda safari isifike mwishoukikaa na mwanamke mwenye chura kubwa hua unajisikiaje?
Hapo hawezi kulalamika maana ni neema za mwenyeziukikaa na mwanamke mwenye chura kubwa hua unajisikiaje?
Kibaya zaidi ukae pembeni karibu na sehemu ya uwazi, unaishia kukalia incha/pembe ya tako 1Wale wenzangu wanaotumia usafiri wa Uma watanielewa kuhusu hili,
Hakuna kero kama kukaa siti moja na mtu mnene(bonge) kwenye dala dala,maana siti yote utakuta kaenea yeye tu mpaka kwenye siti yako wewe unakaa tako moja tu,
inakera zaidi pale ukimwambia asogee anakutazama kwa dharau ni kero sana,
Kila mtu analipia nauli sawa na kila mtu ana siti yake lakini wao wanakula mpka nusu ya siti yako,kwa nini ukijona mnene(bonge) usikate siti ya watu wawili ili ukae kwa kujinafasi bila kukwaza wengine?