Hakuna kinachokela kwenye daladala kama kukaa siti moja na mtu mnene(Bonge)

Hakuna kinachokela kwenye daladala kama kukaa siti moja na mtu mnene(Bonge)

Ndo maana naamini waafrika ni watu wenye roho mbaya sana..hapa naona mnasapotiana na kuonyesha ubaguzi na chuki za wazi kwa watu wanene..
 
Wale wenzangu wanaotumia usafiri wa Uma watanielewa kuhusu hili,

Hakuna kero kama kukaa siti moja na mtu mnene(bonge) kwenye dala dala,maana siti yote utakuta kaenea yeye tu mpaka kwenye siti yako wewe unakaa tako moja tu,

inakera zaidi pale ukimwambia asogee anakutazama kwa dharau ni kero sana,

Kila mtu analipia nauli sawa na kila mtu ana siti yake lakini wao wanakula mpka nusu ya siti yako,kwa nini ukijona mnene(bonge) usikate siti ya watu wawili ili ukae kwa kujinafasi bila kukwaza wengine?
Hahahhahah hii ilinikuta jana jamani yule baba mnene yaan alinibana
 
Ndo maana naamini waafrika ni watu wenye roho mbaya sana..hapa naona mnasapotiana na kuonyesha ubaguzi na chuki za wazi kwa watu wanene..
Siyo ubaguzi wala chuki why unibane kwenye siti yangu ?
 
Wale wenzangu wanaotumia usafiri wa Uma watanielewa kuhusu hili,

Hakuna kero kama kukaa siti moja na mtu mnene(bonge) kwenye dala dala,maana siti yote utakuta kaenea yeye tu mpaka kwenye siti yako wewe unakaa tako moja tu,

inakera zaidi pale ukimwambia asogee anakutazama kwa dharau ni kero sana,

Kila mtu analipia nauli sawa na kila mtu ana siti yake lakini wao wanakula mpka nusu ya siti yako,kwa nini ukijona mnene(bonge) usikate siti ya watu wawili ili ukae kwa kujinafasi bila kukwaza wengine?
Kibaya zaidi ukae pembeni karibu na sehemu ya uwazi, unaishia kukalia incha/pembe ya tako 1
 
ahahahahahahaha jana yamenikuta haya nimekaa kalio moja takribani saa moja na nusu karibu 60km approximate
 
Back
Top Bottom