Hakuna Kiongozi bora kama Rais wa TFF Wallace Karia, hivyo apewe Minne yake tena au atawale hata Milele TFF

Toka hii mitandao ya kijamii ije kuna watu wamekuwa wakiitumia kuhonga watu wenye njaa ili wawapigie debe kupitia hii mitandao.

Kwa mantiki hiyo utawakuta hao waganga njaa wakileta lugha za kipumbavu kama za kusema fulani atawale milele ili mradi tu kuhalalisha malipo yao. Very stupid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…