Hakuna kipindi chenye ulazima wa kuvaa condom kama sasa, Baada ya msaada wa ARV kusitishwa tutegemee maambukizi kwa kasi ya radi

Hakuna kipindi chenye ulazima wa kuvaa condom kama sasa, Baada ya msaada wa ARV kusitishwa tutegemee maambukizi kwa kasi ya radi

Dawa za ARV zimekuwa na msaada mkubwa sana kuzuia maambukizi pale waathirika wanapokutana kimwili na ambao hawajaathirika.

Imefikia kipindi mtu anaweza kutembea peku na idadi kubwa lakini akipima kasalimika, mshukuru sana hizo ARV.

Baada ya misaada kusitishwa nchi za Afrika nyingi zipo katika hali mbaya kwasababu hakukuwa na mipango ya kuja kujitegemea, misaada inaonekana kama ni haki, viongozi wamehamisha lawama kwa Trump bila kuwa na chembe ya aibu kwa nchi zao kusaidiwa misaada mingi miaka mingi ila hadi leo tunategemea dawa.

So kinachoenda kutokea kukiwa hakuna upatikanaji rahisi wa dawa za ARV, kinga za waathirika zitashuka na wakikutana kimwili na wenzao ambao hawajaarhirika kutakuwa na maambukizi.

Kwa hali hii tutegemee watu wengi zaidi kuungwa kwenye gridi

Tunaweza kurudi enzi za miaka ya 2000, waliokuwepo enzi hizo wanajua.
Nonsense....
Yani hii habari ni kama mna i sherehekea..
Tafuteni kazi ya kufanya. 💩
 
Ila sisi Waafrika tufike mahali tuwe na aibu kidogo,ngono zembe tufanye wenyewe raha tupate wenyewe dawa atuletee mzungu.....kweli???

Hizo condom zenyewe tunapewa kama msaada,cha kufanya ni kuacha ngono tu.
😀😀 We kuweza
Chezea upwiru wewe
 
USAID lengo lake halikuwa kwa ajili ya kutoa ARV tu.
 
Dawa za ARV zimekuwa na msaada mkubwa sana kuzuia maambukizi pale waathirika wanapokutana kimwili na ambao hawajaathirika.

Imefikia kipindi mtu anaweza kutembea peku na idadi kubwa lakini akipima kasalimika, mshukuru sana hizo ARV.

Baada ya misaada kusitishwa nchi za Afrika nyingi zipo katika hali mbaya kwasababu hakukuwa na mipango ya kuja kujitegemea, misaada inaonekana kama ni haki, viongozi wamehamisha lawama kwa Trump bila kuwa na chembe ya aibu kwa nchi zao kusaidiwa misaada mingi miaka mingi ila hadi leo tunategemea dawa.

So kinachoenda kutokea kukiwa hakuna upatikanaji rahisi wa dawa za ARV, kinga za waathirika zitashuka na wakikutana kimwili na wenzao ambao hawajaarhirika kutakuwa na maambukizi.

Kwa hali hii tutegemee watu wengi zaidi kuungwa kwenye gridi

Tunaweza kurudi enzi za miaka ya 2000, waliokuwepo enzi hizo wanajua.
ARV ndiyo zinaongeza maambukizi tumia akili wewe zuzu ....kama zikipigwa marufuku kutakuwa na vifo vingi na afya ya watu wengi zitazorota na kuwafanya waogopwe na watu kuhusu ukimwi....siungi mkono ARV kutoweka au kupigwa marufuku ila pia siugi mkono ARV kutolewa bure ...
MADHARA YA ARV KUWA ZA BURE NI KUONGEZA UKIMWI DUNIANI ..hivyo inatakiwa dozi ya ARV ziuzwe japo sh 20000 kwa dozi ya mwezi.
 
Back
Top Bottom