Mchengerwa:
1. Unaona kabisa anajiamini kusema analolisema. Unaona kabisa kuwa ana mamlaka Kuu inampa kiburi na arrogance!
2. Hakuna kitakachobadirika.
3. Kama alisema Lisu, uchaguzi umeisha ni kujipanga upya! Unajipangaje kwenye mapolisi/risasi/Kangaroo mahakama/Bunge kibudu!
4. Suggest the way forward msomaji wa hii thread
1. Unaona kabisa anajiamini kusema analolisema. Unaona kabisa kuwa ana mamlaka Kuu inampa kiburi na arrogance!
2. Hakuna kitakachobadirika.
3. Kama alisema Lisu, uchaguzi umeisha ni kujipanga upya! Unajipangaje kwenye mapolisi/risasi/Kangaroo mahakama/Bunge kibudu!
4. Suggest the way forward msomaji wa hii thread