chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
tu posho posho tu na kutumwaYaani unajitolea bila kulipwa chochote kabisa??
Unaishi vipi mkuu, au unaibia ofisi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tu posho posho tu na kutumwaYaani unajitolea bila kulipwa chochote kabisa??
Unaishi vipi mkuu, au unaibia ofisi??
Kwa hiyo sehemu nyingi ni mwendo wa kubangaiza bangaiza tu..Nenda pale clouds fm uwone watu kwanza yani wanaolipwa hata 20 hawafiki.Nenda Azam kwenye viwanda vyake unaweza kuona watu wengi lakini ni kama wanajitolea maana sio ajira rasmi wala mkataba kamili
Nchi hii ukianza kuangalia watu wanavyo fanya ushenzi we acha tu.Kwa hiyo sehemu nyingi ni mwendo wa kubangaiza bangaiza tu..
Dah.. nchi yetu bado sana..kelele ndio nyingi tu.
..hata wachina wanachoma MAHINDI na KUUZA KARANGA Dar na mikoaniKuna kazi nyingi, za kuchoma mahindi, kutembeza karanga, kuuza vitumbua, genge la matunda n.k na zote zinaingiza hela.
Amelamba kandalasi.Farhani
Maisha yatakuelekeza cha kufanya..hata wachina wanachoma MAHINDI N A KUUZA KARANGA Dar na mikoani