Hakuna Kitu Kama Mamaid Lakini Kila Kabila Lina Jina Lake why?

Hakuna Kitu Kama Mamaid Lakini Kila Kabila Lina Jina Lake why?

TL. Marandu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
3,625
Reaction score
5,810
Mojawapo wa Ushahidi Kuwa Jambo, Kiumbe au hali fulani Ipo Ni kwa Kila Kabila na Lugha za Dunia yote Kuwa Na jina la Kiumbe, Jambo au hali hiyo.

Mfano Sisi Kule Rombo Nilikozaliwa, Nimekuta Watu Wakimwita Tembo, Nshofu, Kwa Kuwa Tembo Yupo, Wasukuma, Waitaliano, Wahindi, Wamasai, na hata kwa wale ambao Maeneo yao Tembo hawapo bado wana neno la Kumita. Kwa Kuwa Tembo Yupo.

Nilikuta Pia Watu Wamwita Chui Ngulamu kwa Kuwa Yupo, Nikakuta Wakimwita Fisi Isisi Kwa Kuwa Yupo, Nikakuta Wakiita Mbwa, Kite Kwa Kuwa Yupo, Nikakuta Wakiliita Jua Ruva Kwa Kuwa Lipo.

Cha ajabu Nilikuta Wakiita Mamaid, Nduva, Lakini Huyu Mamaid au Kwa Kiswahili Nguva, hayupo, Iweje Makabila yote ya Dunia wawe na Jina la Kiumbe wa Kufikirika Tu Tena Wote Wanaamini Kuwa Ni samaki Mtu?
 
usishangae basi hata yale makabila ya msituni kama wahandzabe wana neno kuwakilisha gari wakati hayapo huko
 
Wote tulitawaliwa na mwingereza.mataifa yote yalivisoma vitabu vya muingereza vilivyokuwa na hadithi za mermaid.
hilo nalikubali sasa ni kwann kila kabila liwe na jina lake juu ya kitu kimoja kwa mm nahisi makabila yote yangekuwa na jina moja tena linalofanana kabisaa kwasababu kingekuwa ni kutoka kwenye vitabu tu
 
hilo nalikubali sasa ni kwann kila kabila liwe na jina lake juu ya kitu kimoja kwa mm nahisi makabila yote yangekuwa na jina moja tena linalofanana kabisaa kwasababu kingekuwa ni kutoka kwenye vitabu tu
Mkuu hapo mengine tumeyatohoa mfano stearing wheel tunaita usukani.aeroplane tunaita ndege Ulaya.propeller tunaita pangaboi.sina uhakika sana ila nadhani inaweza kuwa hivo.Ngoja tuwasikie wataalam
 
Mkuu hapo mengine tumeyatohoa mfano stearing wheel tunaita usukani.aeroplane tunaita ndege Ulaya.propeller tunaita pangaboi.sina uhakika sana ila nadhani inaweza kuwa hivo.Ngoja tuwasikie wataalam

nimekusoma kiongozi wangu
 
lugha n saut za nasibu zenye kubeba maana ili ztumiwe na jamii husika ktk mawasiliano, na hakuna kkao cha watu kilichokaa kubun au kuanzsha lugha ko zilizuka tu kwa nasibu miongon mwa watu kutegemea na mazngira husika
 
Back
Top Bottom