Hakuna kitu kibaya hapa duniani kama madeni

Achana nae huyo baby. Ngoja nikutumie laki tano unywe supu.
 
Tena huyo mwenye Madeni,Anatoa bonge la Sadaka.
 
Majembe Auction Mart
Katika orodha ya maswali kwenye usaili ni kama ifuatavyo!
1. Ulishawahi kutumia bangi?
2. Ulishawahi kuona maiti?
3. Ulishawahi kumpasua mtu na chupa?
4. Unaweza kunywa damu mbichi?
5. Unajua wakopaji wasiyolipa madeni kwa wakati ndiyo waliowafanya wananchi wa chini ukiwemo wewe muomba ajira kukosa hela?
6. Thibitisha ukatili wako (hapa ndipo unatakiwa umpasue paka utumbo umle au ujipasue kidogo halafu unywe damu yako) ukifuzu kazi umepata!
KITUO KINACHOFUATA SITE NDIPO ATAJUA HAJUI! Hata ukikutwa na mimba unataka kujifungua wanakutimua, ukutwe na dripu wanakusogeza pembeni ufe vizuri! Kazi kazi! DAWA NI MOJA TU USIKOPE AU LIPA KWA WAKATI!
 
Mkuu, kama hauna madeni basi wewe ndio tatizo. Yaani hauaminiki na imefikia hatua haukopesheki...🙄
 
Madeni ni balaa mi kukopa siwezi mtanisamehe sikumbuki lin nilikopa hata miaka 13 nyuma sijawai kukopa kutokan imani na asili yetu kukopa ni laana
Chuo ni kula mihogo ndo bajeti iliyopo natumia kilicho changu sina tamaa labda bodi ya mikop ndo namalizana nao hivi punde
 
Tatizo la benki zetu hapa zinazo kopesha sio kwamba zinalenga kukunyanyua kiuchumi ila zinalenga kuchukua mali zako, pia ma dalali wa benki wanashawishi watu kwa kuwambia uongo kuhusu huo mkopo pia riba ziko juu.
 
😂😂😂😂😂🙌🏾
 
Madeni madeni...

Mbona niliuza Kiwanja cha 20/20 Chenye pagara La vyumba vitano ..matofali ya kuchoma 1.5 milioni.

Yote Maisha lakini..

Inaitwa kutatua tatizo KWA kutengeneza tatizo Kubwa zaidi..
 
Huwezi kuwa tajiri bila madeni....
Tofautisha madeni na mikopo ..
Inayolipika .. mikopo itolewayo kulingana na collateral.. mikopo KWA ajili ya Biashara inayoendelea ...
Mikopo KWA Mtu aliyeko kwenye mzunguko wa Biashara ... Mikopo KWA Corporation/kampuni ambayo mali za kampuni haziusishwi na mali binafsi ...
 
Nyakati hazilingani dada nawewe one day unaweza kujikuta unakopa!
 
Madeni yanakuaibisha na kuidhalilisha familia yako nakukufanya kuwa masikini wa kutupwa, siku zote mimi kanuni yangu ni moja usikope dhaidi ya 20% ya pato lako kwa mwezi.
 
kutokomeza mikopo na madeni inabidi tuanzie huku

 
Mikopo mibaya sana..nakumbuka 2018 nilipitia kipindi kigumu nikajikuta naingia kwenye madeni..aisee kuna watu wanajua kudai ..siku nayamaliza niliapa sintokuja kukopa tena..labda nikizidiwa sana..kama umeolewa watakuja kwa mmeo..wataenda kwa wazazi wako..watakuja na ofisini..kuna marafiki zangu kadhaa ilibidi waache kazi Ili kukimbia wadeni..na Wengine walifukuzwa kazi kwa sababu ya wadeni kuja kushtaki ofisini..deni ni adhabu ...huna amani huna furahaa..maisha hayendi na unajikuta unafanyia watu kazi..
Mwisho wa mwezi ukifika hela yote inaishia kwenye madeni..Ili ku survive unajikuta unakopa tena...
 
unanichekesha na junijumbusha japo ilikua mazingira ya kazi ila yanafana na haya boss alifika ktk tuliokua tunaitaji kazi,,swali namba moja anataka kazi ya kusimamia site unafanya ibada or unatumia vilevi jibu kalibia wote wafanya
na vilevi awatumii ikafika zamu yangu muda huo nishawaka asubuhi nishavurugwa alivyouliza nikamjibu mkuu me sijui lini nilifanya ibada labda zile za mazishi huwa nauzuria akicheka sana,,sijakaa sawa kitu kikanidondoka ktk jacket alicheka sana nikachaguliwa nikapige kazi .ila hii simulizi nikipata muda nitaileta wakuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…