Hakuna kitu kibaya kama yafuatayo

Ramon Abbas

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,964
Reaction score
3,913
Hakuna kitu kibaya kama

Kupoteza nauli usiku na kila unaemuomba msaada anakuona kama nnyaπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’

Kukosa msosi harusini pekeyako halafu unaona wenzio wanakula mapilau na mapaja ya vyukuπŸ˜…πŸ˜…

kukataliwa na mpenzi wako mbele ya kadamnasi siku mnafunga ndoa..πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

Unaunga bando lako freeeeshi ili umpigie mpenzi wako mara paap unaambiwa hapatikani...πŸ€ͺπŸ€ͺ

𝐞𝐧𝐝𝐞π₯𝐞𝐚 𝐑𝐚𝐩𝐨 𝐜𝐑𝐒𝐧𝐒
 
...Kukoswa akili na maarifa
...kukua umri ila akili ikabakia ya kitoto
....kumaliza chuo ukaenda kuangaliana na mzazi home.
 
Kuweka Bando ili uingie JF aaf ukute umepigwa Ban[emoji47]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…