Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijawahi ku enjoy kwakwelikuzaliwa pekeangu naenjoy sana..... naweza kukaa na wazazi wangu tukashauriana mambo kibao ya msingi na hata ya maendeleo, sina muda wa kujenga chuki kwamba nani anapendwa zaidi nani kafanikiwa kuliko mwenzake.... sina muda wa kuwaza kugawana mali.... jambo lolote wanalolianzisha au ninalolianzisha sina shaka kwenye usimamizi.....
japo nina watoto wawili ila nawalea waishi kama mmoja kubaguana kuwaza nani kamzidi mwenzake nq mambo kama hayo nimeyapinga kwa nguvu kubwa nikijua kesho watakua watu wazima wasije kunitesa kisa sikuweza walea vizuri.
sawa ni wwMimi sijawahi ku enjoy kwakweli
Utapata pachaNdo maana mie nataka kuongeza watoto wawili....maana hawa wawili kike na kiume nao wakikua wataanza mdomo pia eti natamani tungekuwa wakaka wawili au wadada wawili....
Amina na ikawe ivo🙏Utapata pacha
Maosha ni mtihani.
Kuna watu wamezaliwa na ndugu wanatamani wangezaliwa peke yao.
Ongeza mmoja mkuuMaosha ni mtihani.
Kuna watu wamezaliwa na ndugu wanatamani wangezaliwa peke yao.