Hakuna kitu kinauma kama hiki kitu, dhuluma haifai

Hakuna kitu kinauma kama hiki kitu, dhuluma haifai

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
2,912
Reaction score
12,904
Yaani unamdhulumu ama kumtapeli mtu kiasi fulani cha pesa,kiwe kikubwa au kidogo,halafu hakupeleki mahakamani,halafu hakumbushii tena deni analokudai.

Halafu mambo yake biashara zake zinaenda kama kawaida na ana shine,kibaya zaidi wewe hiyo hela haijakufikisha popote,imezidi tu kukupotezea uaminifu, wakuu hili linaumiza mno.

Tuishi Kwa Imani na Kwa uaminifu Mungu yupo na anatenda.
 
Yaani unamdhulumu ama kumtapeli mtu kiasi fulani cha pesa,kiwe kikubwa au kidogo,halafu hakupeleki mahakamani,halafu hakumbushii tena deni analokudai.

Halafu mambo yake biashara zake zinaenda kama kawaida na ana shine,kibaya zaidi wewe hiyo hela haijakufikisha popote,imezidi tu kukupotezea uaminifu, wakuu hili linaumiza mno.

Tuishi Kwa Imani na Kwa uaminifu Mungu yupo na anatenda.
kuna watu wanasingiziaga kutekwa kumbe walidhulumu wengine mali na fedha zao huku wakienjoy tu mijini kibabe wakidhani yameisha, halafu siku wakitembelewa na wakipewa kibano cha malipo ya dhuluma wanalialia na kutia huruma.

dhuluma ni kitu mbaya sana my friends ladies and gentleman :pulpTRAVOLTA: .
 
Kuna aina mbili ya watu huku duniani kwenye hili suala,

1. Wapo wanaosemaga hewala.
2. Na wapo wasiosema hewala.
 
Kuna aina mbili ya watu huku duniani kwenye hili suala,

1. Wapo wanaosemaga hewala.
2. Na wapo wasiosema hewala.
 
Yaani unamdhulumu ama kumtapeli mtu kiasi fulani cha pesa,kiwe kikubwa au kidogo,halafu hakupeleki mahakamani,halafu hakumbushii tena deni analokudai.

Halafu mambo yake biashara zake zinaenda kama kawaida na ana shine,kibaya zaidi wewe hiyo hela haijakufikisha popote,imezidi tu kukupotezea uaminifu, wakuu hili linaumiza mno.

Tuishi Kwa Imani na Kwa uaminifu Mungu yupo na anatenda.
Si ukamdai aliyekudhulumu , maana kulialia hapa ni unaonekana wewe ni dhaifu
 
Yaani unamdhulumu ama kumtapeli mtu kiasi fulani cha pesa,kiwe kikubwa au kidogo,halafu hakupeleki mahakamani,halafu hakumbushii tena deni analokudai.

Halafu mambo yake biashara zake zinaenda kama kawaida na ana shine,kibaya zaidi wewe hiyo hela haijakufikisha popote,imezidi tu kukupotezea uaminifu, wakuu hili linaumiza mno.

Tuishi Kwa Imani na Kwa uaminifu Mungu yupo na anatenda.
Yaani kuna mtu akishasema "namuachia Mungu...." wewe dhulumati utaisoma namba, hutoboi ng'o!
 
Kuna Jamaa, nlimkopesha 2m aongezee aweze kununua gari. Ikapita miaka 2, hataki kurudisha. Kila nikimfuatilia, ananipiga za uso/chenga. Siku moja nikamtumia text "Vipi unampango gani na deni langu"? Akanijibu kwa sms, ni kulipa lakini siwezi kuishi maisha ya shida kisa nadaiwa.

Nilichoka balaa. Sahv ukija kukopa 100,000/= nakuambia/kupa ushauri uende kukopa Saccoss
Unmindful umekuwa mdogo sana kwetu sisi vijana.
 
Yaani unamdhulumu ama kumtapeli mtu kiasi fulani cha pesa,kiwe kikubwa au kidogo,halafu hakupeleki mahakamani,halafu hakumbushii tena deni analokudai.

Halafu mambo yake biashara zake zinaenda kama kawaida na ana shine,kibaya zaidi wewe hiyo hela haijakufikisha popote,imezidi tu kukupotezea uaminifu, wakuu hili linaumiza mno.

Tuishi Kwa Imani na Kwa uaminifu Mungu yupo na anatenda.
Inawezekana akawa hana.Mpe mda
 
Ani mi kuna MTU nilimwazima laki mbili hela ya Kodi akasema biashara zake zimekwama kidogo nimwazime laki mbili Acha Tu dakika za mwisho nimetelekeza baadhi ya vitu kwa mwenye nyumba vichache nimeuza nipate nauli ya kurudi nyumbani yeye uyo MTU unamdai anakuangalia usini me sijasema neno lolote.Ila inauma NI unaacha lipite but daa
 
Back
Top Bottom