Hakuna kitu kinauma kama hiki kitu, dhuluma haifai

Hakuna kitu kinauma kama hiki kitu, dhuluma haifai

Ani mi kuna MTU nilimwazima laki mbili hela ya Kodi akasema biashara zake zimekwama kidogo nimwazime laki mbili Acha Tu dakika za mwisho nimetelekeza baadhi ya vitu kwa mwenye nyumba vichache nimeuza nipate nauli ya kurudi nyumbani yeye uyo MTU unamdai anakuangalia usini me sijasema neno lolote.Ila inauma NI unaacha lipite but daa
Ukimdai tu mnagombana

Kukopesha ni ufala sana
 
Rafiki yangu anakwenda mwaka wa 9 huu, now hata simu hapokei. Watu wa aina hii sijui huwa wanawaza nini juu ya dhuluma.
 
Back
Top Bottom