Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Hakuna kitu kinauma kama ....
"Rafiki yako uliyemnunulia bia miaka minne mfululizo akiwa hana ajira, leo kapata kazi anakwambia ameacha pombe,inauma sana."[emoji38] [emoji38]
Twenda na sms hizi
"Rafiki yako uliyemnunulia bia miaka minne mfululizo akiwa hana ajira, leo kapata kazi anakwambia ameacha pombe,inauma sana."[emoji38] [emoji38]
Twenda na sms hizi