Hakuna kitu kinauma kama......

Hakuna kitu kinauma kama..

....umeshika kijiko kilichojaa ndizi na kipande cha nyama unakileta mdomoni alafu unajigonga kinaanguka...[emoji22][emoji22]
 
Hakuna kitu kinauma kama ....

"Rafiki yako uliyemnunulia bia miaka minne mfululizo akiwa hana ajira, leo kapata kazi anakwambia ameacha pombe,inauma sana."[emoji38] [emoji38]


Twenda na sms hizi
Hakuna kitu kinauma kama kujua ex wako kapata mume mwingine mzuri zaidi yakk..[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hakuna kitu kinauma kama Kugongewa na mshkaji wako akati wew demu alikwambia.msubiri mpaka.ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…