Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
ni vile we ni shemeji yangu na sio jobless, ila ninge kupa onyo la barua Moja Kali.Shemeji chama chako hakifai kuwepo hakina faida yoyote, bora hata chama cha yule donedrake sijui ameendaga wapi naye ๐
๐๐๐๐ni vile we ni shemeji yangu na sio jobless, ila ninge kupa onyo la barua Moja Kali.
chama chetu kina umuhimu, maana kina jua shida na matatizo ya Wanachama.
beside, kwa idadi yetu tuki gombea uraisi, si tuna shinda๐๐
ambia mchumba, raisi wa ma jobless pro max ana msalimia๐๐๐๐๐
Zimefika shemeji! Ndio maana mimi lazima niolewe na tajiri ili wewe na mchumba wako msiteseke!ambia mchumba, raisi wa ma jobless pro max ana msalimia๐
ahh sitaki, mimi raisi wa ma jobless pro max siwezi kuwa chawa wa mtu๐Zimefika shemeji! Ndio maana mimi lazima niolewe na tajiri ili wewe na mchumba wako msiteseke!
Si ndiooo! mjanja wewe nilikuwa nakutia kiberiti nikuone!ahh sitaki, mimi raisi wa ma jobless pro max siwezi kuwa chawa wa mtu๐
Napigana kwa style yangu, connection zangu, na hata maamuzi yangu.
Ili siku tuki kutana kwenye kikao cha ukoo, mdogo ako ana ambiwa akate kachumbari na si kuosha vyombo๐คฃ๐
shemela una vituko๐, naam niite raisi wa ma jobless pro max.Si ndiooo! mjanja wewe nilikuwa nakutia kiberiti nikuone!
Akili nyingi sana Rais, cheo kinakufit vizuri.