Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

Vitu vya kufanya, kama ni Muislam.

Amka asubuhi nenda msikitini ukasali jamaa na sala za jamaa zisikupite.

Jiunge na chama cha siasa ujumuike na wenzako na ufanye mazoea ya kwenda mara kwa mara. CCM connection nyingi.

Jiunge na vikundi vya michezo, hususan mpira, vya hapo mtaani kwako au jirani na mtaani kwako.

Jiunge na meza za vijana au wazee wanapocheza bao na draft jioni.

Vijiwe vya kahawa ni muhimu sana, ujlvijuwe hata kama vipo mbali na wewe, uwe unaenda kila siku japo mara moja baada kusali alfajiri na au jioni.

Mjuwe mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa na wajumbe wake wote. Kuwa karibu nao, siyo kuwajuwa kwa sura tu. Uwe na mawasiliano nao ya karibu.

Mjuwe Diwani wako na uwe na mawasiliano nae ya mara kwa mara.

Wajuwe wafanya biashara wakubwa na wadogo wa mtaani kwako, jisogeze kwao uwe na ukaribu nao.

Wajuwe watu wanaojenga mtaani kwako au maeneo ya karibu na hapo, ufanye ukaribu na mafundi na ma engineer wa ujenzi.


Sasa kijana ukiwa na connection na wote hao na ukiwa na mawasiliano nao utakosa cha kifanya kweli?

Fikiri.
 
Vitu vya kufanya, kama ni Muislam.

Amka asubuhi nenda msikitini ukasali jamaa na sala za jamaa zisikupite.

Jiunge na chama cha siasa ujumuike na wenzako na ufanye mazoea ya kwenda mara kwa mara. CCM connection nyingi.

Jiunge na vikundi vya michezo, hususan mpira, vya hapo mtaani kwako au jirani na mtaani kwako.

Jiunge na meza za vijana au wazee wanapocheza bao na draft jioni.

Vijiwe vya kahawa ni muhimu sana, ujlvijuwe hata kama vipo mbali na wewe, uwe unaenda kila siku japo mara moja baada kusali alfajiri na au jioni.

Mjuwe mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa na wajumbe wake wote. Kuwa karibu nao, siyo kuwajuwa kwa sura tu. Uwe na mawasiliano nao ya karibu.

Mjuwe Diwani wako na uwe na mawasiliano nae ya mara kwa mara.

Wajuwe wafanya biashara wakubwa na wadogo wa mtaani kwako, jisogeze kwao uwe na ukaribu nao.

Wajuwe watu wanaojenga mtaani kwako au maeneo ya karibu na hapo, ufanye ukaribu na mafundi na ma engineer wa ujenzi.


Sasa kijana ukiwa na connection na wote hao na ukiwa na mawasiliano nao utakosa cha kifanya kweli?

Fikiri.
Wewe nae toa upuuzi wako hapa,kila kitu uislamu
 
Wewe nae toa upuuzi wako hapa,kila kitu uislamu
Kama si Muuslam atakwenda msikitini kuswali sala 5?

AlhamduliLlah, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu.

hiyo kwenda msikitini tu, kutwa mara 5, inampa mtu connections kibao.
 
Jaribu kufikiria wale jamaa walikuwa under 🇺🇸 AID, juzi kuna jamaa waliandaliwa kwenda nyanda za juu kusini kupiga kazi, walishaandaa mambo yao, perdiem za kutosha. Mara paap, safari imesitishwa. Ile miradi iliyopo chini ya USAID yote imelala, zile NGO zilizopata kuendesha miradi chini ya marekani...noma na nusu!
Mbona juzi Marco Rubio yule US secretary of State, alisema misaada ya USAID kwa NGO imerudishwa tena 🤔 ERoni
 
Kama si Muuslam atakwenda msikitini kuswali sala 5?

AlhamduliLlah, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu.

hiyo kwenda msikitini tu, kutwa mara 5, inampa mtu connections kibao.
Mkuu nipe basi connection kama ipo
 
Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Nenda mjini tuu Kuna vijiwe kibao
 
Vitu vya kufanya, kama ni Muislam.

Amka asubuhi nenda msikitini ukasali jamaa na sala za jamaa zisikupite.

Jiunge na chama cha siasa ujumuike na wenzako na ufanye mazoea ya kwenda mara kwa mara. CCM connection nyingi.

Jiunge na vikundi vya michezo, hususan mpira, vya hapo mtaani kwako au jirani na mtaani kwako.

Jiunge na meza za vijana au wazee wanapocheza bao na draft jioni.

Vijiwe vya kahawa ni muhimu sana, ujlvijuwe hata kama vipo mbali na wewe, uwe unaenda kila siku japo mara moja baada kusali alfajiri na au jioni.

Mjuwe mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa na wajumbe wake wote. Kuwa karibu nao, siyo kuwajuwa kwa sura tu. Uwe na mawasiliano nao ya karibu.

Mjuwe Diwani wako na uwe na mawasiliano nae ya mara kwa mara.

Wajuwe wafanya biashara wakubwa na wadogo wa mtaani kwako, jisogeze kwao uwe na ukaribu nao.

Wajuwe watu wanaojenga mtaani kwako au maeneo ya karibu na hapo, ufanye ukaribu na mafundi na ma engineer wa ujenzi.


Sasa kijana ukiwa na connection na wote hao na ukiwa na mawasiliano nao utakosa cha kifanya kweli?

Fikiri.
Asante kwa ushauri mzuri ubarikiwe Sana
 
Tena ukiwa na njaa ndy utajuwa Kila kitu ktk maisha yako,wanao kupenda na wasio kupenda utawajuwa.
Kuanzia mke uliyenae,ndugu.

Ukiwa na njaa hata kama una AFYA mgogoro pia itajulikana.
Njaa inadhalilisha utu wa mtu.
Halafu sijui kwanini mtu ukimaliza chuo ukakaa mda mrefu sana bila ajira, maisha yakikupiga, inafika mahali mtu akikuona anaona kama dishi lako limeyumba, ila kiuhalisia una akili timamu, au kuna saa mtu akikuangalia anahisi wewe ni mlevi wa pombe, kumbe kiuhalisia hunywagi pombe hata kidogo mwandende
 
Unamaanisha tangu umemaliza degree chuo, uko home miaka 10 bila kazi😲 na bado kula yako inategema wazazi kwa asilimia 100, alooo Tayana-wog
Mkuu hiko Cha kushangaza kwani?
Ulishawahi kufanya mishe na ikagoma?
Usifanye mchezo
 
Back
Top Bottom