Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

Bora mara kumi iwe na hy idea ya kutoka nje hata ili tuu uendane na majirani kuliko kukaa tuu ndani bila ishu yoyote, kumbuka akiwa huko nje anaweza kubahatisha chcht kuliko akiwa ndani tuu
Nilifanya hivyo kutoka nami niendane siyo kwa ubaya kuwa nawaiga, hata nilikuwa sijui kazi zao wanaenda na kurudi nawaona

Hila nami kutoka ilinisaidia nikakutana na tangazo la kazi ya Msimu nikaenda interview nikapita, nikafanya kwa msimu ukapoisha nikasevu kidogo nikaanzisha mradi wangu mdogo, kwahyo nje kutoka kulinisaidia
 
Amiin, ni kweli kabisa nina rafiki zangu wa krb wameishia kwenye matumizi ya dawa za kulevya, baadhi yao nikiwapoteza kbs. Nilichojifunza kama mwanadamu ninayeishi Mwenyezi Mungu atuongoze tuweze kuwalea watoto wetu kwenye misingi ya dini, haijalishi ni dini ipi au dhehebu lipi.
Dini zote huubiri juu ya upendo, kwa imani yangu ya kikiristu Roho Mtakatifu aliyepandikizwa ndani yangu amenisaidia sana wakati wote kuniongoza ule wakati ambapo wazazi wangu hawakuwepo. Huu ni ushuhuda mwingine 🙏🏾.
 
Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Safi sana ukitoka unapata akili mpya na kuona fursa hata za kipato kidogo.
 
Amiin, ni kweli kabisa nina rafiki zangu wa krb wameishia kwenye matumizi ya dawa za kulevya, baadhi yao nikiwapoteza kbs. Nilichojifunza kama mwanadamu ninayeishi Mwenyezi Mungu atuongoze tuweze kuwalea watoto wetu kwenye misingi ya dini, haijalishi ni dini ipi au dhehebu lipi.
Kabisa ndugu🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Kwahiyo mzee miezi.mitatu unaamka asubuhi unaenda town kuzurura ili uwende sawa na majirani?

Haya ndio matatizo ya kutoishi maisha yako,kama ulienda kwa ajili ya kutafuta riziki ni sahihi ila kama kwa ajili uonekane nawe unapambana dah pole sana
Ni moja kati ya matukio mawili yaliyotaka kunisabishia pressure na kisukari Cha utotoni.
 
Maisha ni safari inayohitaji kuwa na subra kwa kiingereza wanaita faith, wakati huo huo ukipambana, mimi ni kijana niliyekulia kwenye maisha mazuri udogoni kupitia baba, grown up in Masaki miaka hiyo nikiwa nasoma oysterbay Pr. Sch nafuatwa na privite car shuleni, mama yangu akiwa mwalimu kwenye shule ya Mbuyuni baadae Hananasif, ghafla taa ya baba ikazimika. Tukabaki na mama ambaye ni Ticha, all the way from Masaki to Buguruni, Malapa, I remember those days wadogo zangu wakilia muda wote baada kuhamia kwenye mazingira mapya kbs ambayo hawajazoe!, to make a long story short, God has blessed me again na kazi nzuri inayonipa uhakika wa kula na kulala vizuri mimi na familia yangu wakati wote, kwangu mimi hii ni ushuhuda.🙏🏾.
mama bado yupo?
 
Ila hao wengi walishajipanga pesa wanrkula sn ht haziwafikii walengwa
Labda Kwa ambayo ndo walijua wanaanza au Hawana muda mrefu
Kadri unavyopata na matumizi yanakuwa makubwa. Utashangaa wana madeni makubwa kuliko wewe na mimi, huko Bank wamekopa hadi 50m na hakuna cha maana wamefanya, stress juu ya stress.
 
Afadhali wewe ambaye ulikuwa unaamka na hujuwi pa kwenda,,hata ukaamua kuanza kutoka kwenda mjini kuzurura. Inamaana hata nauli ulikuwa nazo.

Mimi nilikuwa naamka na sijuwi tutakula nini Mimi na family yangu..
hata hyo nauli ya kwenda mjini sijuwi ningepataje.

Ila kweli MUNGU sio athumani AISEE.
 
Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
"Mtembea bure si mkaa bure"
"Mgaagaa na upwa hali wali mkavu"
 
Afadhali wewe ambaye ulikuwa unaamka na hujuwi pa kwenda,,hata ukaamua kuanza kutoka kwenda mjini kuzurura. Inamaana hata nauli ulikuwa nazo.

Mimi nilikuwa naamka na sijuwi tutakula nini Mimi na family yangu..
hata hyo nauli ya kwenda mjini sijuwi ningepataje.

Ila kweli MUNGU sio athumani AISEE.
Hatar sana,unaweza kuona dunia yote imekuelemea wewe
 
Back
Top Bottom