Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Pole Sana mungu akufanyie wepesi hii hali ni mbaya Sana nduguDuh hali hii ndo nayo pitia now
Tema mate chini puuuh..sitaki hata kukumbuka..Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Aisee kama Wana akiba wataanzisha hata miradi Hila kama hawana akiba bhasi hali hiyo hapo juu inawasubiriJaribu kufikiria wale jamaa walikuwa under 🇺🇸 AID, juzi kuna jamaa waliandaliwa kwenda nyanda za juu kusini kupiga kazi, walishaandaa mambo yao, perdiem za kutosha. Mara paap, safari imesitishwa. Ile miradi iliyopo chini ya USAID yote imelala, zile NGO zilizopata kuendesha miradi chini ya marekani...noma na nusu!
Dah wewe jamaa umeichambua kinamna kabisa🤣🤣Hiyo Hali uisikie tu kwa mpita njia akihadithia. Tena ina unafuu ukiwa gheto kwako, vuta picha ile unakaa kwa broo halafu shem ni mnoko sana. Anamka asubuhi anakuambia sehemu mi Leo sipiki kwahiyo utamalizia hicho kiporo Cha wali na maharage.
Ukila ukishiba inaomba Mungu isipite hali yoyote ya uchafuz wa hewa maana shemej yako atajua wewe ndo umeharibu Hali ya hewa, na huwez kukata maana wewe ndo umeshindia kiporo Cha wali maharage
Nilikuwa na Imani nikienda mjini nitapata mishe kwahyo ningeendelea kukaa tu? afu Kuna vitu kuiga km mwenzako anafanikiwa siyo mbayaKwahiyo mzee miezi.mitatu unaamka asubuhi unaenda town kuzurura ili uwende sawa na majirani?
Haya ndio matatizo ya kutoishi maisha yako,kama ulienda kwa ajili ya kutafuta riziki ni sahihi ila kama kwa ajili uonekane nawe unapambana dah pole sana
Wanakuwa na vipato vikubwa ila biashara ni wito mkuu, sio kila mtu anaweza.Aisee kama Wana akiba wataanzisha hata miradi Hila kama hawana akiba bhasi hali hiyo hapo juu inawasubiri
Natamani wote wanaotafuta kazi wanazostahili wapate kazi wanazotafuta.Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Dah wewe jamaa 🤣🤣 kuwa seriously kidogoMimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakemea hoja yako.
una taka wanachama watoke ili waende wapi??, au lengo lenu ni chama chetu kuvunjika eboo!
Kabisa aisee mungu awapiganie maana hali ni mbayaNatamani wote wanaotafuta kazi wanazostahili wapate kazi wanazotafuta.
Aise ndy hali ninayopitia kwasasa najalibu hata kuuza vitu hangalau nipate mtaji hila wapi Ngoma ngumuYaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mkuu kwenye maisha hasa ukiwa mwanaume usijaribu kusikiliza wala kuwaza jamii itanionaje fanya kila linalo wezekana asee. Neda kijijini kajichimbie miezi yako sita anza hata kwa kulima mchicha hako kasimu uza upate pa kuanzia aseebaada ya mwezi ramani huwa inaanza kusoma na kukuonyesha direction yenyew tu.Hamna Mzee si unajua umetoka zako chuo mda huo afu umeingia mtaani mtaa unakukataa Hila mungu mkubwa saiv nikiamka najua naenda wapi
Hawa nijui ila Wana taka kuni pima, niki ripuka shit is heavy ka hiroshimaConboi - Sizo_phumelela.
Achana na biashara tafuta kibarua MkuuAise ndy hali ninayopitia kwasasa najalibu hata kuuza vitu hangalau nipate mtaji hila wapi Ngoma ngumu