Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomi mambo?Nakumbuka hiki kipindi nilisota sana mawazo mengi, ila nashukuru Mungu nilikutana na mtu akanipa mchongo nipo nafanya mpaka sasa napambania nipate mtaji nijiajiri, ili niepukane na kadhia kama hizo ikitokea sina kazi tena.
hili nalo neno, maana kila mtu ana taka ulaji na siyo uchapakaziNatamani wote wanaotafuta kazi wanazostahili wapate kazi wanazotafuta.
Naomi mamboNakumbuka hiki kipindi nilisota sana mawazo mengi, ila nashukuru Mungu nilikutana na mtu akanipa mchongo nipo nafanya mpaka sasa napambania nipate mtaji nijiajiri, ili niepukane na kadhia kama hizo ikitokea sina kazi tena.
Ukishika sana hela nyingi hata muda wa kula unakua hauna muda hautoshi kwahiyo tumia muda huu kula vizuriumenikumbusha mbal san naeza jifungia ndan kmy ilimrad tu nionekane na mm nimeenda mishe au na mm natoka asbh km wenzangu kwamaan unabaka om na wake za wati n aibu aseh wanaume wenzio wanaend mishe
Alhamdulilah Mungu sio mwantum nikafanikiwaga kaz iliyonileta makaz km mbili kdg saiv najibana hvyo hvyo na familia yang Alhamdulillah nipo hapa na kula sekela kujipongeza na kakimshahara chang
Ilinikumba hiyo. Niliachishwa KAZI, account zikafungwa, miezi sina mishe , mke akaanza uzinguzi full balaa.Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Daaaah siku Moja nikiwa Sina mishe nikaamua kwenda kujitolea kweny ofisi Moja....nkakatuna na mfanyakazi Amefanya KAZI miaka 10 Cha ajabu ananiomba mim nauli Ile Hali Sina hata mia mfukoni.....Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ungemtia kibao kwanza halafu ndio jibu lifuateDaaaah siku Moja nikiwa Sina mishe nikaamua kwenda kujitolea kweny ofisi Moja....nkakatuna na mfanyakazi Amefanya KAZI miaka 10 Cha ajabu ananiomba mim nauli Ile Hali Sina hata mia mfukoni.....
Aiseee tumepitia challenge nyingi sana but ilitufunza tujue kuwa MAISHA sio rahisi........Ungemtia kibao kwanza halafu ndio jibu lifuate
Tulia mkuu hata mimi nilikua na jeuri kama weweKwahiyo mzee miezi.mitatu unaamka asubuhi unaenda town kuzurura ili uwende sawa na majirani?
Haya ndio matatizo ya kutoishi maisha yako,kama ulienda kwa ajili ya kutafuta riziki ni sahihi ila kama kwa ajili uonekane nawe unapambana dah pole sana
Umeamua uniseme mkuu😅😅Umenikumbusha mbali natoka home naenda vuta ndum
Uko sahihi, muda mwingine mambo ni mengi una kuja shangaa saa 6 hii hapa.Naomi mambo
Ukishika sana hela nyingi hata muda wa kula unakua hauna muda hautoshi kwahiyo tumia muda huu kula vizuri
Mkuu binadamu real kama ww mmebaki Wachache sana hapa duniani, mmjojawapo ni wwKwahiyo mzee miezi.mitatu unaamka asubuhi unaenda town kuzurura ili uwende sawa na majirani?
Haya ndio matatizo ya kutoishi maisha yako,kama ulienda kwa ajili ya kutafuta riziki ni sahihi ila kama kwa ajili uonekane nawe unapambana dah pole sana
😅Mkuu hii ni mistari ya Ngoma Gani? Na kaimba msanii gn? Naombeni mniatajie maana imenikoshaAnd when the rent keep doubling, tuna enda resi hatuna muda wa ku cuddling.
hivi vitu vyetu mkuu
Gari likiwaka ,Wengi wao hujikuta wanatumbukia kwenye uliwengu wa ulevi,,,ni huzini sana😓Usipokuwa mtu wa kujishikilia halafu uwe over thinker and then uwe na watu kama viatu lazima gari liwake. Hii hali isikie tuu
Nifahamishe bhasi nijifunze niondokane na hii mindsetHiyo ni mindset tu, cha kufanya hutokikosa.
Tuulize watu wazima tukufahamishe.