Hakuna Legacy yoyote utakayoacha ambayo itafika mwaka 3000 labda kidogo kwa bahati Legacy ya kizazi chako

Hakuna Legacy yoyote utakayoacha ambayo itafika mwaka 3000 labda kidogo kwa bahati Legacy ya kizazi chako

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
HAKUNA LEGACY YOYOTE UTAKAYOACHA ÀMBAYO ITAFIKA MWAKA 3000 LABDA KIDÔGO KWA BAHATI LEGACY YA KIZAZI CHAKO.


Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Siô kama nakukatisha tamaa Wala hata. Mimi nakuambia tuu uhalisia kuwa msamiati legacy NI namna ya kufariji Watu waone kile wanachofanya kina maana na Maisha yao yanatija. Ilhali kiuhalisia Maisha ni Ubatili mtupu.

Kama unajenga Miundombinu au miradi ili kubakiza kumbukumbu au Kile kiitwacho Legacy ndugu yàngu pokea Pole yàngu

Kufikia Mwaka 3000 Hakuna chochote ambacho unakiona Sasa hivi ambacho kitakuwepo.

Siô Magari, siô Barabara, siô magorofa, siô viwanda n.k.

Kidôgo wàpo wachache ambao wataacha Legacy ya vizazi vitakavyofanikiwa kufikia Mwaka 3000.

Nchi Karibu zote unazoziona ifikapo Mwaka 3000 hazitakuwa na majina ya namna hii tuliyonayo, NI aidha zisambaratike, au kugawanyika na kuzalisha vinchi vingine au ziungane na kuzalisha nchi zingine. Possibility kûbwa NI nchi nyingi kugawnyika vipande vipande kuliko kuungana.

Miaka elfu tatu ijayo siô ajabu vijiji unavyoviona hivi Leo ndîo vitakuwa Vinchi. Yàani Dunia itakuwa inarudi ilipotoka.

Vitabu, Mashairi, Riwaya, na maandiko yôte ya Sasa asimilia 99.99% yatafutika na hayatakuwa na maana yoyote Kwa nyakati hizi. Hakuna legacy kîla kitu kilichopita kitakuwa kimepita na hakuna atakayekipa maana yoyote.

Watu wôte mashuhuru unaowajua hivi Leo ukiwemo wewe na Mimi Miaka 3000 ijayo Hakuna yeyote àmbaye atakuwa akitufahamu. Siô ajabu jina Lako likitajwa wanaweza Kutoa nadharia kuwa hukuwepo Wengine wakisema ni hadithi za kufikirika.

Pîcha Karibu zote zinazopigwa hivi Leo Miaka 3000 ijayo hazitakuwepo. Wàpo wachache pîcha zào zitafanikiwa kuwepo lakini ni 0.001% tuu.

Kîla kitu kitapotea.
Kîla Mtu atapotea na hatakumbukwa tenà yeye na mambo yake yôte.

Legacy itakayobaki niya Yule Mmiliki wa Dunia na Wakati

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
 
Unapambana kuacha 'legacy', 'impact' lakini je, hiyo legacy inakusaidia nini ukiwa marehemu?

Unadhani Nyerere alitafuta uhuru ili akifa akumbukwe, ama ni kwasababu alikuwa anaamini kwenye anachokifanya na alitaka kutumikia watu?

Nakubaliana na wewe, watu wanakosea.
 
HAKUNA LEGACY YOYOTE UTAKAYOACHA ÀMBAYO ITAFIKA MWAKA 3000 LABDA KIDÔGO KWA BAHATI LEGACY YA KIZAZI CHAKO.


Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Siô kama nakukatisha tamaa Wala hata. Mimi nakuambia tuu uhalisia kuwa msamiati legacy NI namna ya kufariji Watu waone kile wanachofanya kina maana na Maisha yao yanatija. Ilhali kiuhalisia Maisha ni Ubatili mtupu.

Kama unajenga Miundombinu au miradi ili kubakiza kumbukumbu au Kile kiitwacho Legacy ndugu yàngu pokea Pole yàngu

Kufikia Mwaka 3000 Hakuna chochote ambacho unakiona Sasa hivi ambacho kitakuwepo.

Siô Magari, siô Barabara, siô magorofa, siô viwanda n.k.

Kidôgo wàpo wachache ambao wataacha Legacy ya vizazi vitakavyofanikiwa kufikia Mwaka 3000.

Nchi Karibu zote unazoziona ifikapo Mwaka 3000 hazitakuwa na majina ya namna hii tuliyonayo, NI aidha zisambaratike, au kugawanyika na kuzalisha vinchi vingine au ziungane na kuzalisha nchi zingine. Possibility kûbwa NI nchi nyingi kugawnyika vipande vipande kuliko kuungana.

Miaka elfu tatu ijayo siô ajabu vijiji unavyoviona hivi Leo ndîo vitakuwa Vinchi. Yàani Dunia itakuwa inarudi ilipotoka.

Vitabu, Mashairi, Riwaya, na maandiko yôte ya Sasa asimilia 99.99% yatafutika na hayatakuwa na maana yoyote Kwa nyakati hizi. Hakuna legacy kîla kitu kilichopita kitakuwa kimepita na hakuna atakayekipa maana yoyote.

Watu wôte mashuhuru unaowajua hivi Leo ukiwemo wewe na Mimi Miaka 3000 ijayo Hakuna yeyote àmbaye atakuwa akitufahamu. Siô ajabu jina Lako likitajwa wanaweza Kutoa nadharia kuwa hukuwepo Wengine wakisema ni hadithi za kufikirika.

Pîcha Karibu zote zinazopigwa hivi Leo Miaka 3000 ijayo hazitakuwepo. Wàpo wachache pîcha zào zitafanikiwa kuwepo lakini ni 0.001% tuu.

Kîla kitu kitapotea.
Kîla Mtu atapotea na hatakumbukwa tenà yeye na mambo yake yôte.

Legacy itakayobaki niya Yule Mmiliki wa Dunia na Wakati

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Mimi najapanga kuacha Kwa kizazi changu,siko hapa kufurahisha binadamu wengine hiyo sio kipawa Changu.
 
Unapambana kuacha 'legacy', 'impact' lakini je, hiyo legacy inakusaidia nini ukiwa marehemu?
Inaweza isikusaidie wewe Ukawa na lengo isaidie utakaowaacha lakini vipi utakaowaacha wakitumia ndivyosivyo kinyume na mipango yako. Itakuwa Kazi bure

Unadhani Nyerere alitafuta uhuru ili akifa akumbukwe, ama ni kwasababu alikuwa anaamini kwenye anachokifanya na alitaka kutumikia watu?
Suleiman kuna Siku alijiuliza swali kama hilo
Nakubaliana na wewe, watu wanakosea.
 
Yes - Mimi sitaki kufa bila kuacha alama chanya .


Kina Socrates na Issac newton watakumbukwa sana

Alafu cha ajabu Siku ukisikia kumbe hao jamaa hizô Kazi hazikuwa zào zilikuwa za Mtu Mwingine sijui utajisikiaje.

Mfano unaacha zako Legacy alafu Miaka Mia ijayo hiyo Legacy inajulikana ilifanywa na Mtu Mwingine labda Mimi.

Hilo nalo unalifikiriaje
 
Unapambana kuacha 'legacy', 'impact' lakini je, hiyo legacy inakusaidia nini ukiwa marehemu?

Unadhani Nyerere alitafuta uhuru ili akifa akumbukwe, ama ni kwasababu alikuwa anaamini kwenye anachokifanya na alitaka kutumikia watu?

Nakubaliana na wewe, watu wanakosea.


Kwahiyo unatoa ushauri gani mkuu ?

Kila generation ijipambanie ?
 
Alafu cha ajabu Siku ukisikia kumbe hao jamaa hizô Kazi hazikuwa zào zilikuwa za Mtu Mwingine sijui utajisikiaje.

Mfano unaacha zako Legacy alafu Miaka Mia ijayo hiyo Legacy inajulikana ilifanywa na Mtu Mwingine labda Mimi.

Hilo nalo unalifikiriaje


Hilo sio tatizo ni sawa na kumchorea MTU ramani then yeye akatusua wewe ukaendelea kuwa katika msoto.


Mimi nikiwa na jambo kama halisaidii watu naona bado sana.
 
Kwahiyo unatoa ushauri gani mkuu ?

Kila generation ijipambanie ?

Ushauri NI Fanya kinachokufurahisha kama kuacha alama ndîo furaha yako unaweza ukafanya hivyo lakini kama lengo NI kuacha alama itakayojulikana kama imefanywa na wéwe na watakaobaki watumie Alama hiyo kama ulivyofikiri wewe uliyeiunda hapo unapoteza Muda wako.
 
Legacy pekee ambayo ninaweza kuiacha ni kutengeneza ancestry background! Nimeanza na Mtoto wangu, anafahamu Baba wa Babu yake ni nani, na Mama wa Bibi yake ni nani? Nimetengeneza mchoro kabsa hata siku nikikata moto basi dogo ajue kabsa hiyo kitu itaendelea mbele kwa wajuku zake.​
 
Hilo sio tatizo ni sawa na kumchorea MTU ramani then yeye akatusua wewe ukaendelea kuwa katika msoto.


Mimi nikiwa na jambo kama halisaidii watu naona bado sana.

Unazungumziaje kuweka Alama alafu Alama hiyo ikatumiwa na Watu ndivyo sivyo?
 
Back
Top Bottom