Hakuna lockdown, Basi tuonyesheni mipango

Hakuna lockdown, Basi tuonyesheni mipango

Kuna thread humu ndani nilliona mchana ikimdhihaki Rais kuwa "Asante Magufuli kwa kutuvusha kwenye Corona"! Aliyeandika ni Mwana CCM au ni MTU mwenye mrengo huo! Nilisiikitika sana maana gonjwa linazidi na kuna Wapuuzi wanamdhihaki Rais wakidhani wanamsifia.

Kwa hali ilivyo, nawasihi nyote ndugu zangu, tusimame kwa pamoja, watakaokufa sio wana CCM au CHADEMA! Ni Watanzania, ni ndugu zetu, kwanini tusiungane? Kwanini tusiheshimu mawazo ya hao tunaowaita Wapinzani waliotumwa na Mabeberu?

Inaumiza na inakera sana Mwenyezi Mungu atusaidie. Tumeshachelewa kuchukua hatua na tunafanya utani, tutakwisha! Wala hatutishani. Afya zenyewe mgogoro kisha tunaleta siasa. Narudia, kama hatutakuwa serious, tutakwisha.
Mzee huwezi weka lockdown wakati mwenye nchi hataki tatizo lipo hapo,ukimwangalia ummy na majaliwa wanaongea sura zikiwa uncomfortable
 
Kama unaitamani lockdown usisubiri serikali ikwambie jipige we mwenyewe tu hakuna tatizo
 
Niliwahi mwambia mdogo wangu wakike miaka ya nyuma, gauni halijakupendeza, akanuna na kutoka hivyo hivyo, kufika alikokuwa anaenda mashoga zake wakamuuliza vipi shosti hukutokea home nini? akawauliza kwann? wakamjibu mbona upo normal sana hujadamshi. Akaelewa kuwa ni kweli hakuwa amependeza, aliporudi akaniambia. Nikanyamaza.

Siku nyingine akanifuata na mchoro wa gauni anataka akashone, nikamwambia huu umekaa kibibi sasa, ngoja nikutafutie mshono online, hakungoja, huyooo kwa fundi, baada ya wiki akarudi na gauni lake, kulivaa, mama akamwambia loooooooo yaani kitenge kizuri umeenda kukiharibu mwanangu, ndo umeshona kituko gani hicho. Akaniangalia, nikafumba macho.

Kuanzia siku hiyo, akawa akija na jambo lake, mi naunga mkono hoja tu, mpaka akajua kuwa bro hana time tena na mimi, akaamua kujishusha na kuacha ujuaji, ikawa akiomba ushauri kama yupo sahihi namwambia, kama kabugi namwambia na anachukua ushauri.

So tuendelee kujikinga wenyewe mpaka hapo watakapoona kuwa sisi nasi watu sio mifugo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa nchi kakimbia ikulu iliyo ofisi yake.
Dar palimshinda kasema Feb 2020 atakuwa Dodoma nako hakai.
Mzee wetu wa msoga tulimsema kwa kuwa kwao ni karibu hakuna picknick ndiyo maana alikwenda ulaya.
Ni upuuzi kuwa na ikulu kila mkoa na wilaya kwa ajili ya Rais.
Karibuni tuliona anavinjari mawe ya chamwino vilevile kahawa ya geita na ekarist ya mlimani.

Juzi kwenye endorsement ya Biden, Obama alisema" mtu anayepaswa kuwa pale juu anapaswa kuongoza kwa maarifa, uzoefu, humility, sympathy, kindness, and so on"
What kind of leader do we have?

Catholic Bishop kwangu ni mfano wa kiongozi bora au mbaya, kwa kuwa anamamlaka ya kila kitu jimboni, anamaarifa ya kutosha na uzoefu wengi wanafanya vizuri endapo watakuwa na msingi WA kanisa yaani unyenyekevu WA yesu katika kutumika hasa kuongoza watu kimwili na kiroho badala ya kubaki kiroho au kimwili tu. Wapo wengi na daima wanafanya kazi vizuri kwa kuwa ni mababa hivyo utupenda wote waliowake anapobagua kwa ubinafsi ni kosa analoweza kutubu isipokuwa pale anapobagua kwa kufundisha fadhila ya uvumilivu na kuchukuliana kwa upendo, lkn daima maamuzi yake yasichelewe ili yeye asife au hasibabishe kifo cha kiroho au kimwili. Na daima katika nyumba zao wanakuwa na nafasi ya tafakuri ambayo uhuisha nafsi na maovu lkn kwa watawala muda huo ni mchache mwingi ni kusikiliza washauri na wapambe ambao hawakupi tafakuri japo mateso katk dhamiri sasa au baadaye.

Mtawala mwema huwa na mchache WA matendo, wasaidizi na kusikiliza watu na mwingi katika kuisikiliza dhamiri.

Nashkuru mh. Rais Jana ameamua kuisikiliza kweli dhamiri yake na kuomba maombezi ya taifa. Ni sawa lkn hatupaswi kubaki rohoni tu kwani Mungu hutenda kwa muda wake na haongwi kwa sala zetu.

Mipango ya kimwili inahitajika kupita hapa tulipo: tunakumbuka, mengi na pambe nyingi zilibubujia na neno UTEKELEZAJI WA AWAMU YA TANO sasa corona amekuja kubomoa na kutukumbusha usivyojali wahanga WA majanga. Tunaomba utuonyeshe namna ya kulinda uchumi uliojenga pia utuokoe ksma kikwete wakati wa ukame WA 2006-2008 kwa njaa.

Mipango ya corona na uchumi iwekwe mezani na serikali ndipo tutajiona tuko salama.

Moon jae in alipiga simu kwa wakuu WA nchi 20 na kuomba msaada kupambana na corona na simu sake ziliwekwa hadharani ili kutoa matumaini kwa wakorea kuwa anawapigania dhidi ya janga hili; na kwa hakika amepata viti 180 kati ya viti 300 kimsingi anekibeba chama.

Natamani Leo urudi magogoni na ufanye mikakati ya kutunusuru ukiwa karibu na unaowahitaji.

Tunajua ulitamani uvunje binge mapema kwa hotuba ukiliacha liendelee, lkn matumaini hayapo tena. Endapo hautachukua hatua sasa ugonjwa huu utadumu kwa muda mrefu hivyo uchumi wetu utadoda.

Naota tu!
 
Marekani imewashinda wanawaza kuachia watu wafanye kazi.

Sasa Tz mtakuwa mnaokota watu barabarani waliokufa kwa njaa na vipigo vya polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Marekani wanafikiria kuruhusu Watu watoke "lockdown" WANAFIKIRIA.
Wanapojiridhisha kuwa WAMEFANIKIWA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI MAPYA.

Hawajashindwa "lockdown"
 
Serikali ya awamu ya 5 ilikuwa inakusanya na kutumia kwenye miradi mikubwa, kulipa madeni ya nje na ndani pamoja na kulipa watumishi wake.
Kapu halikufanikiwa kutunza fedha.
Sasa government ikifanya hiyo kitu italeta athari kubwa zaidi economically.Na mnajua uchumi ukianguka hata sekta za afya zitafall na kuweza kuleta vifo vingi zaidi ya vile ambavyo vingesababishwa na COVID19. Serikali imeona ni heri shughuli ziendelee ili tukusanye chochote kitu na miamala kwenda kwa watumishi na maeneo mengine iendelee.
Kwa upande wangu siihitaji lockdown kwasasa. Tuzidishe umakini katika kila jambo kwa kuzingatia kanuni za afya.
Viva Magufuli, viva Tanzania.
 
Serikali ya awamu ya 5 ilikuwa inakusanya na kutumia kwenye miradi mikubwa, kulipa madeni ya nje na ndani pamoja na kulipa watumishi wake.
Kapu halikufanikiwa kutunza fedha.
Sasa government ikifanya hiyo kitu italeta athari kubwa zaidi economically.Na mnajua uchumi ukianguka hata sekta za afya zitafall na kuweza kuleta vifo vingi zaidi ya vile ambavyo vingesababishwa na COVID19. Serikali imeona ni heri shughuli ziendelee ili tukusanye chochote kitu na miamala kwenda kwa watumishi na maeneo mengine iendelee.
Kwa upande wangu siihitaji lockdown kwasasa. Tuzidishe umakini katika kila jambo kwa kuzingatia kanuni za afya.
Viva Magufuli, viva Tanzania.
Kwani kulikuwa na lockdown?
 
Si nilisikia kua tuna akiba ya pesa ya kutosha kua tunaweza kukaa zaidi ya miezi 6 bila kufanya kazi, VIP tena zile pesa zimeenda wap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani imewashinda wanawaza kuachia watu wafanye kazi.

Sasa Tz mtakuwa mnaokota watu barabarani waliokufa kwa njaa na vipigo vya polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani haijawashinda. Ni wananchi wa jimbo moja tu ambao ni asilimia ndogo ya wananchi kidogo sana.
Tofauti na sisi wenzetu wanajiweza.
Kwa hali mbaya waliyonayo.. wakiachia watu maambukizi yatazid mara 10 zaid waliyonayo sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya awamu ya 5 ilikuwa inakusanya na kutumia kwenye miradi mikubwa, kulipa madeni ya nje na ndani pamoja na kulipa watumishi wake.
Kapu halikufanikiwa kutunza fedha.
Sasa government ikifanya hiyo kitu italeta athari kubwa zaidi economically.Na mnajua uchumi ukianguka hata sekta za afya zitafall na kuweza kuleta vifo vingi zaidi ya vile ambavyo vingesababishwa na COVID19. Serikali imeona ni heri shughuli ziendelee ili tukusanye chochote kitu na miamala kwenda kwa watumishi na maeneo mengine iendelee.
Kwa upande wangu siihitaji lockdown kwasasa. Tuzidishe umakini katika kila jambo kwa kuzingatia kanuni za afya.
Viva Magufuli, viva Tanzania.
Hakuna uhalisia kwenye maelezo ya JP
Kimsingi tunacheza kamari.

Tutathimini julai na August
 
Umeshapewa mpango kazi halafu bado unalia lia acha watu tumalizie dozi ya jioni
DCIM_2304202001.png
DCIM_23042020.png
DCIM_2304202002.png
 
Serikali imegoma kutuonesha mipango


Kilichobaki ni kuonyesha nguvu ya umma kwenye uchaguz
 
Kuna thread humu ndani nilliona mchana ikimdhihaki Rais kuwa "Asante Magufuli kwa kutuvusha kwenye Corona"! Aliyeandika ni Mwana CCM au ni MTU mwenye mrengo huo! Nilisiikitika sana maana gonjwa linazidi na kuna Wapuuzi wanamdhihaki Rais wakidhani wanamsifia.

Kwa hali ilivyo, nawasihi nyote ndugu zangu, tusimame kwa pamoja, watakaokufa sio wana CCM au CHADEMA! Ni Watanzania, ni ndugu zetu, kwanini tusiungane? Kwanini tusiheshimu mawazo ya hao tunaowaita Wapinzani waliotumwa na Mabeberu?

Inaumiza na inakera sana Mwenyezi Mungu atusaidie. Tumeshachelewa kuchukua hatua na tunafanya utani, tutakwisha! Wala hatutishani. Afya zenyewe mgogoro kisha tunaleta siasa. Narudia, kama hatutakuwa serious, tutakwisha.
Hatua zimechukuliwa na mamlaka husika na wanaendelea kusimamia utekelezaji wake.

Timiza wajibu wako kwa kuwa uamuzi wa kujikinga maambukiza ni wako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom