Maendeleo ya simba hayapingwi kwa hoja nyepesi namna hiyo.Timu haiwezi akaendeshwa kwa kutegemea makapi ya wachezaji.Tunamtaka Mo atuletee wachezaji wenye hadhi ya Jina la Simba.Hilo linawezekana kama tukifanikiwa kufungua milango ya uwekezaji.Hakuna asiyetaka faida,hivyo hata Mo akifaidika klub nayo itafaidika hasa kwa kuongeza mapato na washabiki kwa matokeo mazuri.Simba ilitakiwa iwe kama TP Mazembe kwa ukongwe wake,lakini leo haina hata pesa ya kusajili wenye uwezo wa level za Mazembe.