miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Angekuwa smart kama unavyomsema asingemzalia ruge mtoto. Kwangu ni mtu average kama wanawake wengine tu.
Sasa hv naona kama ana stress fulani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa smart kama unavyomsema asingemzalia ruge mtoto. Kwangu ni mtu average kama wanawake wengine tu.
Hata me namuona wa kawaida....kajiingiza katika matatizo ya bure!!!!
Si ndo kashasema hakuna masikini jeuri, kama bosi alitaka angemnyima si angefukuzwa kazi angekufa na njaa hapa mjini...Lakini saa hizi mashallah, alikuwa kapanga huku uswazi kwetu alivyojifuanguaga tu akahamishwaa...Chezea...
Shost maskini jeuri ni msemo tusiuweke kwenye akili, usmart tupa Kule, hadi smartphone zipoo.
mwendhio nimegeti inspayadii hivoo
Ha ha ha umekuwa inspired na life ya huyo binti??wacha wee....ss hv anaishi wapi kwani?
Nimeget inspayadi niache ujeuriiii nisije kufa masikini, Ila kutoka upresenta tu wa kuchambua filamu hadi kuwa Mrs boss sio shughuli ndogo..
.Sijui anaishi wapi now, naona mjengo tu instaa, huku alipanga chumba na sebule...
Basi tulio majehuri acha tule jeuri yetu.Ila kwa Ruge hapana!!Hata me namuonaga insta na ana mimba nyingine now
Shauri zako, me kuanzia Leo ujeuri basiii.....Ass kissin ndo habari...lol
Ndio maana akamvulia chupi BOSS wake Ruge ili apate atakacho?
Halafu ni mama kijacho tena uzazi wa pili kutoka kwa huyo2 ruge mutahaba chezea ruge ww!!
Nope I'm not among of themAr you among chagaz!?