Pre GE2025 Hakuna Mbunge anayeleta maendeleo kwenye jimbo lake, maendeleo yanaletwa na Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kumekuwa na udanganyifu wa baadhi ya Wahe. Wabunge wakijitapa huku Majimboni kuwa bila yeye maendeleo kwenye Jimbo lake yasingepatikana. Mfano miradi ya Maji, Elimu, Afya n.k.

Tuwaambie ukweli kuwa maendeleo yaliyopo kwenye Majimbo yao yameletwa na Serikali kupitia bajeti ya kila mwaka inayotaayarishwa na Serikali na siyo wenyewe hivyo sioni maana ya kuwa na Wabunge wengi mjengoni bila kazi yeyote wanayofanya.
 
Tena siyo serikali ni Samia
 
"Sioni maana ya kuwa na wabunge wengine"
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†
Ile nazani ndio hoja ya msingi ila kungine kote umepuyanga ndugu.
 
Hahahaa....na ukweli kinacholeta maendeleo ni kodi yako wewe mwananchi + fedha za wahisani+ mikopo.
Ila hii ya kiongozi amekuletea barabara....ni ka mazoea kabaya tu.
 
wawakilishi wa wananchi wataendelea kuongezeaka mjengoni kadiri itakavyoonekana inanfaa ili kusogeza uwakilishi wa maoni na mahitaji ya huduma zao muhimu na za kipaumbele serikalini, lakini pia kusogeza huduma hizo, karibu zaidi na huko waliko wananchi wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…