Pre GE2025 Hakuna mbunge hata mmoja wa CHADEMA atashinda uhaguzi ujao

Pre GE2025 Hakuna mbunge hata mmoja wa CHADEMA atashinda uhaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Mda unavyoenda CHADEMA inazidi kuwa mahututi,ingawa Mbowe atashinda kwa kura za kutosha kutoka kwa wajumbe lakini wanachama ambao ndo wengi hawana imani tena na CHADEMA chini ya Mbowe.

CCM wameshajua madhaifu ya Mbowe ndo maana wanapambana ili ashinde kwenye uchaguzi ndani ya chama. Chadema chini ya Mbowe itakuja kunadi sera zipi kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu na hakuna kipya, wajumbe/Machawa wanaangalia maslahi kutoka kwa Mbowe bila kuangalia mbeleni kwamba uchaguzi mkuu hawatapata kura kabisa .

CCM leo wanawapa support chadema ambayo ni chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe umeona wapi? CCM ndo babalao kwenye figisu na hujuma kwenye uchaguzi na CHADEMA ilikuwa ikitumia mwamvuli wa wananchi kulinda kura na kupiga kelele,CCM.

Sasa hivi ni marafiki wa team Mbowe subiria uchaguzi mkuu unapofanyika hakuna kumwangalia nyani usoni na zamu hii Chadema bila support ya wafuasi usitegemee kuna mtu atapiga kelele au kuhangaika na kupambania chama kurisky maisha yake.

Nadiriki kusema mwakani hakuna hata mgombea mmoja wa chadema ataingia bungeni labda kutoka chama kingine cha upinzani.
 
Wishfull thinking

Uchaguzi wa ndani wa CDM unafuatiliwa na nchi nzima iwe Wabunge 2025?

Sasa ivi kuna watu elf 10 wanamsikiliza mgombea huko X na CH
 
Mda unavyoenda CHADEMA inazidi kuwa mahututi,ingawa Mbowe atashinda kwa kura za kutosha kutoka kwa wajumbe lakini wanachama ambao ndo wengi hawana imani tena na CHADEMA chini ya Mbowe.

CCM wameshajua madhaifu ya Mbowe ndo maana wanapambana ili ashinde kwenye uchaguzi ndani ya chama. Chadema chini ya Mbowe itakuja kunadi sera zipi kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu na hakuna kipya, wajumbe/Machawa wanaangalia maslahi kutoka kwa Mbowe bila kuangalia mbeleni kwamba uchaguzi mkuu hawatapata kura kabisa .

CCM leo wanawapa support chadema ambayo ni chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe umeona wapi? CCM ndo babalao kwenye figisu na hujuma kwenye uchaguzi na CHADEMA ilikuwa ikitumia mwamvuli wa wananchi kulinda kura na kupiga kelele,CCM.

Sasa hivi ni marafiki wa team Mbowe subiria uchaguzi mkuu unapofanyika hakuna kumwangalia nyani usoni na zamu hii Chadema bila support ya wafuasi usitegemee kuna mtu atapiga kelele au kuhangaika na kupambania chama kurisky maisha yake.

Nadiriki kusema mwakani hakuna hata mgombea mmoja wa chadema ataingia bungeni labda kutoka chama kingine cha upinzani.

Tusidanganyane kama watoto hizi changuzi za Polisi na usalama sio chaguzi. Mpaka mfumo ubadilike ndiyo tuongelee chaguzi kwasasa ni ujinga jinga tu ukiongelea chaguzi.
 
Mda unavyoenda CHADEMA inazidi kuwa mahututi,ingawa Mbowe atashinda kwa kura za kutosha kutoka kwa wajumbe lakini wanachama ambao ndo wengi hawana imani tena na CHADEMA chini ya Mbowe.

CCM wameshajua madhaifu ya Mbowe ndo maana wanapambana ili ashinde kwenye uchaguzi ndani ya chama. Chadema chini ya Mbowe itakuja kunadi sera zipi kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu na hakuna kipya, wajumbe/Machawa wanaangalia maslahi kutoka kwa Mbowe bila kuangalia mbeleni kwamba uchaguzi mkuu hawatapata kura kabisa .

CCM leo wanawapa support chadema ambayo ni chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe umeona wapi? CCM ndo babalao kwenye figisu na hujuma kwenye uchaguzi na CHADEMA ilikuwa ikitumia mwamvuli wa wananchi kulinda kura na kupiga kelele,CCM.

Sasa hivi ni marafiki wa team Mbowe subiria uchaguzi mkuu unapofanyika hakuna kumwangalia nyani usoni na zamu hii Chadema bila support ya wafuasi usitegemee kuna mtu atapiga kelele au kuhangaika na kupambania chama kurisky maisha yake.

Nadiriki kusema mwakani hakuna hata mgombea mmoja wa chadema ataingia bungeni labda kutoka chama kingine cha upinzani.
Hakuna siku ambapo CHADEMA imeshindwa kupata Mbunge, wanazuiwa wasigombee!!

Wanashinda hawatangazwi, kura za ushindi zinageuzwa .

Inaonekana wewe ni mgeni hujui siasa za Tanzania kwa hii miaka 9, au umeamua kuficha AKILI zako kati ya Tako Moja na kalio moja!!!
 
Mda unavyoenda CHADEMA inazidi kuwa mahututi,ingawa Mbowe atashinda kwa kura za kutosha kutoka kwa wajumbe lakini wanachama ambao ndo wengi hawana imani tena na CHADEMA chini ya Mbowe.

CCM wameshajua madhaifu ya Mbowe ndo maana wanapambana ili ashinde kwenye uchaguzi ndani ya chama. Chadema chini ya Mbowe itakuja kunadi sera zipi kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu na hakuna kipya, wajumbe/Machawa wanaangalia maslahi kutoka kwa Mbowe bila kuangalia mbeleni kwamba uchaguzi mkuu hawatapata kura kabisa .

CCM leo wanawapa support chadema ambayo ni chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe umeona wapi? CCM ndo babalao kwenye figisu na hujuma kwenye uchaguzi na CHADEMA ilikuwa ikitumia mwamvuli wa wananchi kulinda kura na kupiga kelele,CCM.

Sasa hivi ni marafiki wa team Mbowe subiria uchaguzi mkuu unapofanyika hakuna kumwangalia nyani usoni na zamu hii Chadema bila support ya wafuasi usitegemee kuna mtu atapiga kelele au kuhangaika na kupambania chama kurisky maisha yake.

Nadiriki kusema mwakani hakuna hata mgombea mmoja wa chadema ataingia bungeni labda kutoka chama kingine cha upinzani.
Upotoshaji
 
Hakuna siku ambapo CHADEMA imeshindwa kupata Mbunge, wanazuiwa wasigombee!!

Wanashinda hawatangazwi, kura za ushindi zinageuzwa .

Inaonekana wewe ni mgeni hujui siasa za Tanzania kwa hii miaka 9, au umeamua kuficha AKILI zako kati ya Tako Moja na kalio moja!!!
Nadhani wewe hujui ukisemacho.
Unaongelea kipindi makamanda wana ari ya kupambania chama chao, kipindi wana imani na viongozi wao tofauti na sasa ambapo wanamuona Mbowe kama msaliti anayewauza.
Mbowe wa sasa haaminiki, ukitaka kujua mwambie aitishe hata mkutano tu wa hadhara hapa Mwanza aone kama atapata wahudhuriaji? Labda wanaccm wakamsikilize.
Amechokwa na haaminiki tena.
Atavuna aibu ambayo hakuwahi kuwaza kuipata.
 
Mda unavyoenda CHADEMA inazidi kuwa mahututi,ingawa Mbowe atashinda kwa kura za kutosha kutoka kwa wajumbe lakini wanachama ambao ndo wengi hawana imani tena na CHADEMA chini ya Mbowe.

CCM wameshajua madhaifu ya Mbowe ndo maana wanapambana ili ashinde kwenye uchaguzi ndani ya chama. Chadema chini ya Mbowe itakuja kunadi sera zipi kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu na hakuna kipya, wajumbe/Machawa wanaangalia maslahi kutoka kwa Mbowe bila kuangalia mbeleni kwamba uchaguzi mkuu hawatapata kura kabisa .

CCM leo wanawapa support chadema ambayo ni chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe umeona wapi? CCM ndo babalao kwenye figisu na hujuma kwenye uchaguzi na CHADEMA ilikuwa ikitumia mwamvuli wa wananchi kulinda kura na kupiga kelele,CCM.

Sasa hivi ni marafiki wa team Mbowe subiria uchaguzi mkuu unapofanyika hakuna kumwangalia nyani usoni na zamu hii Chadema bila support ya wafuasi usitegemee kuna mtu atapiga kelele au kuhangaika na kupambania chama kurisky maisha yake.

Nadiriki kusema mwakani hakuna hata mgombea mmoja wa chadema ataingia bungeni labda kutoka chama kingine cha upinzani.
Nenda kalale umechoka Akili kuliko mwili.
 
Kwa huu upumbavu na upuuzi unaoendelea wasishinde tu
Ujinga Gani huu
 
Back
Top Bottom