Mada nzuri kwa upande wangu, nimebahatika kutembelea wilaya ya Lushoto kwa mara ya kwanza, Mwenyezi Mungu kawapa kila kitu isipokua greedy, corrupted leaders, wilaya ina wabunge 3 wameshindwa kabisa kukarabati ile pass kutoka Mombo hadi mlalo, yaani mpaka Germany aje tena kuikarabati ile pass, wao wamewekeza miradi mingi na kupiga usd huku wakiwalipa wale poor of the poorest vicenti, maisha ya wengi ni way below poverty line, yaani wamekata tamaa wakati wamezungukwa na utajiri mkubwa mno, elewa kila watalii 12 wana creat nafasi moja ya ajira,sasa wakifanikiwa kupata watalii 300,000 kwa season, ni kiasi gani cha ajira kitakua created, nilitamani niwapige viboko wabunge wa wilaya hii