Hakuna mbunge yeyote anayeleta maendeleo, maendeleo huletwa na Serikali

Dunia nzima kazi ya Bunge sio kuleta Maendeleo,labda unataka iwe tofauti kwa Tanzania
Kwa mfano Bunge la Tanzania lilikuwa na uwezo wa kukaata uwanja wa ndege wa Chato kujengwa na badala yake pesa zikajenge barabara za majimbo kadhaa, wangeweza kukataa serikali isipoteze pesa kwenye kununua korosho au wale wabunge wa kusini wangekuwa na ujasiri wa kutosha wangeweza kusimama kidete dhidi ya jiwe pesa za mfuko wa korosho ambazo zingeleta maendeleo katika majimbo yao zisichotwe na serikali.
Kuna namna nyingi sana wabunge wanaweza kufanya kuleta maendeleo.
 
Sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…