Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapoingia chooni akili karibuni yote unaiacha nje bila wewe kujua, unaingia na ile ya kukusaidia usijinyee, ndo mana hutakiwi kufanya chochote cha ziada , hata kukohoa tu unaweza ukute umejinyea au upo Off target tayar. Ukiona mtu anaingia chooni halaf huko anafanya mengine mfano anaimba, ujue huyo kaingia nazo zote na si ajabu ukakuta amekunya kwenye ndoo ya maji.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba usikute aliyeanzisha hii post hata ni bosi wakoTunge kuwa hatufake id humu, tungepoteana mitaani duuh!!!
Hahahaha aisee utakuta mtu na heshima zake lkn JF anapost vitu vya ajabu, hata mawaziri na marais wanapost humu![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba usikute aliyeanzisha hii post hata ni bosi wako
aisee jf kiboko mimi na wewe milele na milele
Unatumia choo gani?! Watu wanakunya huku wanachart, watu wanakunya huku wanawatch screen
Humu ni raha sana maana tungejuana tusingekuwa huru!Hahahaha aisee utakuta mtu na heshima zake lkn JF anapost vitu vya ajabu, hata mawaziri na marais wanapost humu!
Aisee!!Humu ni raha sana maana tungejuana tusingekuwa huru!