Kwanza huu uzi ungekosa kometiTunge kuwa hatufake id humu, tungepoteana mitaani duuh!!!
Mbavu zanguuUnapoingia chooni akili karibuni yote unaiacha nje bila wewe kujua, unaingia na ile ya kukusaidia usijinyee, ndo mana hutakiwi kufanya chochote cha ziada , hata kukohoa tu unaweza ukute umejinyea au upo Off target tayar. Ukiona mtu anaingia chooni halaf huko anafanya mengine mfano anaimba, ujue huyo kaingia nazo zote na si ajabu ukakuta amekunya kwenye ndoo ya maji.
Raha ya kunya uwe unavuta sigara, full burudani kitu kinadrop bila shida yaani fresh.
Burudani zaidi uvute sigara Nyota hutaona shida hata kama hujala matunda mwaka.
Na wewe unakunya[emoji33][emoji33][emoji33]Kwakweli kunya ni starehe.
Haha aisee pengine hata mleta Uzi asingethubutu kuleta Uzi hapa jukwaani!!!Kwanza huu uzi ungekosa kometi
Ndio.Na wewe unakunya[emoji33][emoji33][emoji33]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]kila mtu anastaili yake ya kunya! Nani atajisifia anajua style ya jirani yake ya kunya? aje nimpe msimbazi fasta
Tatizo mkuu unaweza sahau kutawaza maanake kitu inatoka kama tofaliRaha ya kunya uwe unavuta sigara, full burudani kitu kinadrop bila shida yaani fresh.
Burudani zaidi uvute sigara Nyota hutaona shida hata kama hujala matunda mwaka.
Kna uzi ulianzshw hmu wa kumsifia uzuri kairuki,kn mdau akasema hvi kwny comment "ukute huyu aliyeanzisha huu uzi ni magu au kigwangala au simbachawene " nilicheka sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba usikute aliyeanzisha hii post hata ni bosi wako
aisee jf kiboko mimi na wewe milele na milele