man of steel
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,099
- 2,354
Tena waweza kuta ni makorokoro au meja kabisa haha, au mkurugenzi wa wilaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba usikute aliyeanzisha hii post hata ni bosi wako
aisee jf kiboko mimi na wewe milele na milele
Kama unasikiaga kuwaza nje ya box ndo huko sasa ....Ila jamaa alizidi eti anaweza kuwa kingwangala au magu!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kna uzi ulianzshw hmu wa kumsifia uzuri kairuki,kn mdau akasema hvi kwny comment "ukute huyu aliyeanzisha huu uzi ni magu au kigwangala au simbachawene " nilicheka sana[emoji3]
Tufanye picnic au bonanzaAisee!!
HahaaaaBalaa huja kwa sie wa kwa mtogole upo umebanwa na gogo lako tangia asubuhi umelitunza unafika tuu gheto jirani na choo wamekaa akina mama wanapiga umbea wao siunafahamu hivi vyoo vya huku uswazi havina hata Paa harufu yote inapaa hewani tuu na pia usiombe hilo Gogo liambatane na vijambo flani hivi vya Sunna , Mimi hua nafungua bomba la maji tuu au nabuluza ndoo ili sauti ya vijambo vya sunna wasisikie.
Balaa huja kwa sie wa kwa mtogole upo umebanwa na gogo lako tangia asubuhi umelitunza unafika tuu gheto jirani na choo wamekaa akina mama wanapiga umbea wao siunafahamu hivi vyoo vya huku uswazi havina hata Paa harufu yote inapaa hewani tuu na pia usiombe hilo Gogo liambatane na vijambo flani hivi vya Sunna , Mimi hua nafungua bomba la maji tuu au nabuluza ndoo ili sauti ya vijambo vya sunna wasisikie.
Uwiiiiiiiii Hapa atajitokeza maxence melo tu kama JF wakiwa co-ordinator hata mods watakacha!!!!Tufanye picnic au bonanza
ili tufahamiane jamani!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] , kwenye hili huwa hakuna chabo. Ungeuliza kwenye kuoga nadhani wangepatikana.kila mtu anastaili yake ya kunya! Nani atajisifia anajua style ya jirani yake ya kunya? aje nimpe msimbazi fasta
Duh [emoji50] !moja kati ya kitendo ambacho hakina staili nyingi ni kujisaidia haja kubwaa yani ukileta bwebwee kidogo tu unakunya pembeni
Ha ha haBalaa huja kwa sie wa kwa mtogole upo umebanwa na gogo lako tangia asubuhi umelitunza unafika tuu gheto jirani na choo wamekaa akina mama wanapiga umbea wao siunafahamu hivi vyoo vya huku uswazi havina hata Paa harufu yote inapaa hewani tuu na pia usiombe hilo Gogo liambatane na vijambo flani hivi vya Sunna , Mimi hua nafungua bomba la maji tuu au nabuluza ndoo ili sauti ya vijambo vya sunna wasisikie.