Kwa hiyo unamlinganisha kwa sasa au kwa wakati ule? Maana kwa sasa wote wanacheza ligi ya Bongo. Ni sawa na baba kumfokea mwanaye kwamba hauwezi kulingana na mimi umri, jambo ambalo ni dhahiri! Kitu pekee unachotakiwa kuwalinganisha ni performance yao wakiwa wote, maana hata Farid Mussa alicheza Hispania. Mimi nijuavyo Saido amesaini Yanga akitokea BurundiTofauti kati ya Saidoo na akina chama na yule mmakonde wa msumbiji ni kwamba, wakati Saidoo ana umri ambao wanao akina chama, Saidoo alikuwa anacheza ligi ya ufaransa na akina Benzema, Jorninho etc
Huyo mnaemuita Messi wenu Mamelodi palimshinda.Seidoo si lolote ule kuja tu Utopolo ni hovyoo kabisa yaani angeenda hata TP Mazembe auAl Ahly. Tunampa muda tu atakua kama Ngasa
Wabrazil walipotua msimbazi walisema "ooh,kacheza na Neymar " anakuja bongo! Sasa huyu kapanda au????Tofauti kati ya Saidoo na akina chama na yule mmakonde wa msumbiji ni kwamba, wakati Saidoo ana umri ambao wanao akina chama, Saidoo alikuwa anacheza ligi ya ufaransa na akina Benzema, Jorninho etc
Kutoka kucheza ligi ya Ufaransa hadi kuja Utopolo ina maana amekwisha huyo.
Sio wengi,sema woteUkweli unaujua,CV yake nikubwa kuliko wachezaji wengi wa VPL
Akili za kibongo zinawaza uchawi tuAkiteguka haponi huyo.nipe mwezi mmoja atapigwa misumari atakuwa majeruhi miezi sita akipona tayari miaka 36
Wapi nimeandika uchawi sheheAkili za kibongo zinawaza uchawi tu
Na ile free kick ndiyo ilisababisha Morrison asajiliwe Simba.Wakat Sarpong anafika mlimuimba sana mara oooh goal machine mara atabeba kiatu ila mpaka mda huu anazidiwa na Lamine Moro kwa magoal. Kiukweli Saido ni mzuri ila not to that extent mnavyomsema, free kick alopiga hata Morison aliipiga dhidi ya Simba kwa hiyo sion la ajabu. Ila uzuri wabongo wanakupandisha wao na wanakushusha wao.
Calinyos na Morrison wametia fora kwa kucheza Baikoko na Kibao Kata!Hata yule mcheza baikoko wa kireno alipokuja mlimpa sifa lukuki.View attachment 1655271
Free kick ya saidoo ni tofauti sana na ya morrison japo ya morrison pia ilikuwa ni bora pia,angalia saidoo amepigia engo ipi,mtazame jinsi alivyokuwa anamchungulia kupa,na angalia ike curl alivyoipiga,ni kiki bora sanaWakat Sarpong anafika mlimuimba sana mara oooh goal machine mara atabeba kiatu ila mpaka mda huu anazidiwa na Lamine Moro kwa magoal. Kiukweli Saido ni mzuri ila not to that extent mnavyomsema, free kick alopiga hata Morison aliipiga dhidi ya Simba kwa hiyo sion la ajabu. Ila uzuri wabongo wanakupandisha wao na wanakushusha wao.
Amecheza mechi ngapi VPL.Naomba performance yake.tuanzie hapo.Tofauti kati ya Saidoo na akina chama na yule mmakonde wa msumbiji ni kwamba, wakati Saidoo ana umri ambao wanao akina chama, Saidoo alikuwa anacheza ligi ya ufaransa na akina Benzema, Jorninho etc
Asante mkuu kwa mwongozoSio wengi,sema wote
Sawa vaa kjora chako ukacheze singeli. Football ina wenyeweTofauti kati ya Saidoo na akina chama na yule mmakonde wa msumbiji ni kwamba, wakati Saidoo ana umri ambao wanao akina chama, Saidoo alikuwa anacheza ligi ya ufaransa na akina Benzema, Jorninho etc