demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Leo nimecheki game ya simba sc dhidi ya Prison ambapo simba wamepoteza kwa goli moja.
Kuanzia kikosi cha kwanza hadi walio kaa benchi hakuna mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha wachezaji 11 wa Mabingwa wa Kihistoria wa Mara 28 wa Ligi Kuu Bara.
Simba mna kazi kubwa sana ya ku-UPGRADE kikosi chenu.
Ukizingatia wachezaji wengi ni Above 30.
Kuanzia kikosi cha kwanza hadi walio kaa benchi hakuna mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha wachezaji 11 wa Mabingwa wa Kihistoria wa Mara 28 wa Ligi Kuu Bara.
Simba mna kazi kubwa sana ya ku-UPGRADE kikosi chenu.
Ukizingatia wachezaji wengi ni Above 30.