Dunia?Hebu acha masikhara!πππDunia leo imesimama kwa sababu tu ya ubingwa wa Wananchi!
Hatari sana.
Kama huwamini nenda kwenye Twitterya kocha wa Al Alhy Masimane utaamini hiliDunia?Hebu acha masikhara!πππ
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nilikuwa na shabiki wa simba sc pale jangwani.
Baada ya kusikia simba kafungwa na prison akauliza βkwani simba anacheza leo!β
[emoji23][emoji23]
Nilikuwa Hapo Samora Walipofanya Jambo LaoDunia?Hebu acha masikhara!πππ
Kwahivyo Mkuu nikusaidieje kama imefunika hapo?Mkuu hii imefunika sana aisee
Mkuu usiwaite mbwa wachezaji usifikirie huko, wewe hujaanza leo kufuatia mpira...!Hawa mbwa wamenikera leo
Masimane ndiye dunia?Aaargh...!Hebu acheni ku-overrate petty issues!ππππKama huwamini nenda kwenye Twitterya kocha wa Al Alhy Masimane utaamini hili
Mosimane ndio dunia? πππKama huwamini nenda kwenye Twitterya kocha wa Al Alhy Masimane utaamini hili
Yanga inatoa shule jinsi ya kusheherekea ubingwa sio tu Tz bali Africa nzimaKwahivyo Mkuu nikusaidieje kama imefunika hapo?