Hakuna Mechi ya Simba SC ninayoigopa kama ya leo dhidi ya Azam FC, ila tukishinda nitakuwa ni mwenye Furaha japo nina Hofu nayo

Hakuna Mechi ya Simba SC ninayoigopa kama ya leo dhidi ya Azam FC, ila tukishinda nitakuwa ni mwenye Furaha japo nina Hofu nayo

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kiufundi nawaogopa zaidi Azam FC kuliko hata Yanga SC kwani Azam FC wana Wachezaji wenye Vipaji Asilia huku Yanga SC wakiwa na Wachezaji wenye Ushindani na Morali ya Juu.

Hakuna Mechi ambayo inaniumiza Kichwa Kuiwazia mpaka kuwa na Hofu nayo kama hii ya leo kati ya Simba SC yangu dhidi ya Azam FC na kinachoniumiza Kichwa zaidi ni kuona Watani zetu Yanga SC nao ndiyo Kwanza wakizidi tu Kuchanja Mbuga kwa Ushindi huku Kiwango chao kila Siku kikizidi tu Kuimarika na kuonyesha kuwa kweli Msimu huu wamepania na wana Jambo lao.

Kama kuna Mtu ambaye atakuwa na Furaha Kubwa leo Simba SC ikishinda dhidi ya Azam FC basi ni Mimi kwani naiona hii Mechi ni ngumu, imekaa vibaya Kwetu na Azam FC watakuwa wamejiandaa nayo Kiufundi na Kimkakati pia.

Sijui kwanini kuna Hisia zinaniambia kuwa kama Simba SC tutashinda leo dhidi ya Azam FC basi ni kwa taabu mno ila kuna Uwezekano pia ama Simba SC tukatoka Sare au Suluhu na tunaweza vile vile tukafungwa na Kuuanza mwaka 2022 vibaya. Wale waombaji basi leo tuiombee sana hii Mechi ili tushinde kwani nina wasiwasi nayo mno.

Mungu ibariki tu Simba SC yangu leo!!!
 
Unaongelea azam hii hii ya wana lambalamba ndio waisumbue simba!

Kuwa na amani anza kujaza furaha yako moyoni maana mambo ni fire leo
 
Kiufundi nawaogopa zaidi Azam FC kuliko hata Yanga SC kwani Azam FC wana Wachezaji wenye Vipaji Asilia huku Yanga SC wakiwa na Wachezaji wenye Ushindani na Morali ya Juu.

Hakuna Mechi ambayo inaniumiza Kichwa Kuiwazia mpaka kuwa na Hofu nayo kama hii ya leo kati ya Simba SC yangu dhidi ya Azam FC na kinachoniumiza Kichwa zaidi ni kuona Watani zetu Yanga SC nao ndiyo Kwanza wakizidi tu Kuchanja Mbuga kwa Ushindi huku Kiwango chao kila Siku kikizidi tu Kuimarika na kuonyesha kuwa kweli Msimu huu wamepania na wana Jambo lao.

Kama kuna Mtu ambaye atakuwa na Furaha Kubwa leo Simba SC ikishinda dhidi ya Azam FC basi ni Mimi kwani naiona hii Mechi ni ngumu, imekaa vibaya Kwetu na Azam FC watakuwa wamejiandaa nayo Kiufundi na Kimkakati pia.

Sijui kwanini kuna Hisia zinaniambia kuwa kama Simba SC tutashinda leo dhidi ya Azam FC basi ni kwa taabu mno ila kuna Uwezekano pia ama Simba SC tukatoka Sare au Suluhu na tunaweza vile vile tukafungwa na Kuuanza mwaka 2022 vibaya. Wale waombaji basi leo tuiombee sana hii Mechi ili tushinde kwani nina wasiwasi nayo mno.

Mungu ibariki tu Simba SC yangu leo!!!
Gentamycine usiwe na wasiwasi hilo ni tawi lenu
 
Kiufundi nawaogopa zaidi Azam FC kuliko hata Yanga SC kwani Azam FC wana Wachezaji wenye Vipaji Asilia huku Yanga SC wakiwa na Wachezaji wenye Ushindani na Morali ya Juu.

Hakuna Mechi ambayo inaniumiza Kichwa Kuiwazia mpaka kuwa na Hofu nayo kama hii ya leo kati ya Simba SC yangu dhidi ya Azam FC na kinachoniumiza Kichwa zaidi ni kuona Watani zetu Yanga SC nao ndiyo Kwanza wakizidi tu Kuchanja Mbuga kwa Ushindi huku Kiwango chao kila Siku kikizidi tu Kuimarika na kuonyesha kuwa kweli Msimu huu wamepania na wana Jambo lao.

Kama kuna Mtu ambaye atakuwa na Furaha Kubwa leo Simba SC ikishinda dhidi ya Azam FC basi ni Mimi kwani naiona hii Mechi ni ngumu, imekaa vibaya Kwetu na Azam FC watakuwa wamejiandaa nayo Kiufundi na Kimkakati pia.

Sijui kwanini kuna Hisia zinaniambia kuwa kama Simba SC tutashinda leo dhidi ya Azam FC basi ni kwa taabu mno ila kuna Uwezekano pia ama Simba SC tukatoka Sare au Suluhu na tunaweza vile vile tukafungwa na Kuuanza mwaka 2022 vibaya. Wale waombaji basi leo tuiombee sana hii Mechi ili tushinde kwani nina wasiwasi nayo mno.

Mungu ibariki tu Simba SC yangu leo!!!

Wewe ni utopolo fc lia lia,Azam fc hajawahi kuwa na madhara kwa simba labda utopolo
 
Tuliza wenge, Simba Sc inacheza soka la Ki spain tutaishambulia azam FC bila huruma kabisa.
 
Unaongelea azam hii hii ya wana lambalamba ndio waisumbue simba!

Kuwa na amani anza kujaza furaha yako moyoni maana mambo ni fire leo
Kuwa huru mkuu . Simba huwa hakubali kushindwa kirahisi hivyo .Ft Simba 2 , Azam 0
 
Kama mlisumbuliwa na Namungo hadi Mafua na wale Biashara watashinswa Azam..?
Azam piga hao Makolo... Siwapendi kabisa hapa Duniani
Mkuu acha wivu. Hawa usiowapenda ndio waliokufanya angalau mwaka huu ukapanda ndege kwenda Nigeria kumwagiwa nje baada ya kuwa umemwagiwa ndani hapa kwa mkapa na Rivers united.
 
Mkuu acha wivu. Hawa usiowapenda ndio waliokufanya angalau mwaka huu ukapanda ndege kwenda Nigeria kumwagiwa nje baada ya kuwa umemwagiwa ndani hapa kwa mkapa na Rivers united.
Kwahiyo unataka kusema kule Lagos wale jamaa wa Rivers walitumia chupa ya Mirinda?
 
Kiufundi nawaogopa zaidi Azam FC kuliko hata Yanga SC kwani Azam FC wana Wachezaji wenye Vipaji Asilia huku Yanga SC wakiwa na Wachezaji wenye Ushindani na Morali ya Juu.

Hakuna Mechi ambayo inaniumiza Kichwa Kuiwazia mpaka kuwa na Hofu nayo kama hii ya leo kati ya Simba SC yangu dhidi ya Azam FC na kinachoniumiza Kichwa zaidi ni kuona Watani zetu Yanga SC nao ndiyo Kwanza wakizidi tu Kuchanja Mbuga kwa Ushindi huku Kiwango chao kila Siku kikizidi tu Kuimarika na kuonyesha kuwa kweli Msimu huu wamepania na wana Jambo lao.

Kama kuna Mtu ambaye atakuwa na Furaha Kubwa leo Simba SC ikishinda dhidi ya Azam FC basi ni Mimi kwani naiona hii Mechi ni ngumu, imekaa vibaya Kwetu na Azam FC watakuwa wamejiandaa nayo Kiufundi na Kimkakati pia.

Sijui kwanini kuna Hisia zinaniambia kuwa kama Simba SC tutashinda leo dhidi ya Azam FC basi ni kwa taabu mno ila kuna Uwezekano pia ama Simba SC tukatoka Sare au Suluhu na tunaweza vile vile tukafungwa na Kuuanza mwaka 2022 vibaya. Wale waombaji basi leo tuiombee sana hii Mechi ili tushinde kwani nina wasiwasi nayo mno.

Mungu ibariki tu Simba SC yangu leo!!!
Yaani wewe jamaa usingekuwa POPOMA, Ningekupigia debe uwe Afisa Habari pale Klabuni kwako! Ila sasa ndiyo hivyo tena.
Huwa unajitahidi sana kusema ukweli ukilinganisha na mbumbumbu wengine.

Binafsi nawatakia Azam ushindi wa aina yoyote ile. Maana hakuna namna.
 
Yaani wewe jamaa usingekuwa POPOMA, Ningekupigia debe uwe Afisa Habari pale Klabuni kwako! Ila sasa ndiyo hivyo tena.
Huwa unajitahidi sana kusema ukweli ukilinganisha na mbumbumbu wengine.

Binafsi nawatakia Azam ushindi wa aina yoyote ile. Maana hakuna namna.
Muda mwingi akili zake zinayumba huwa anapata nafuu kwa mda mdogo sana.
 
Yaani wewe jamaa usingekuwa POPOMA, Ningekupigia debe uwe Afisa Habari pale Klabuni kwako! Ila sasa ndiyo hivyo tena.
Huwa unajitahidi sana kusema ukweli ukilinganisha na mbumbumbu wengine.

Binafsi nawatakia Azam ushindi wa aina yoyote ile. Maana hakuna namna.
Muda mwingi akili zake zinayumba huwa anapata nafuu kwa mda mdogo sana.
 
Kikosi

Screenshot_20220101-180634~2.png
 
Back
Top Bottom