ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #581
...........Hoyeeeeeee!!Hongera sana Mkoa wa Mbeya kuvutia kuishi na uwekezaji ....Mbeya hoyee
Mkoa wa Mbeya ni Kati ya Mikoa mitano iliyopo Nyanda za Juu Kusini sanjali na Mikoa ya Ruvuma, Iringa, Songwe, Njombe na Rukwa. Mbeya ilianzishwa mwaka 1961.
SahihiLazima tukubali changamoto ili tuweze kutatua. Mbeya bado. Hata pale panapoitwa jiji ni aibu.
Itakuwa siasa tuWalitumia vigezo gani kuupa mji wa Mbeya kuwa jiji mbona kama pako local sana hata baadhi ya miji hapa Tanzania ambayo sio majiji inaizidi [emoji848]
Mwamba ana pisi yake kama nyoka halafu fresh tu
Taja mkoa usiokuwa na nyumba za tope Tanzania hii!Mbeya inawezekana ndio jiji lenye miondombinu mibovu zaidi na makazi yasipangaliwa na duni pia, kuna nyumba za udongo na vijumba vya ajabu ajabu katika jiji!
Mji gani uliopangwa Tzn hii?Mbeya inawezekana ndio jiji lenye miondombinu mibovu zaidi na makazi yasipangaliwa na duni pia, kuna nyumba za udongo na vijumba vya ajabu ajabu katika jiji!
Kizuri cha kwao wenyeji wa huko! Ila mimi kusema kweli Mbeya uzuri ni chakula tu!Mhhh ila Kwa hii mbeya hapana, kipindi Cha kiangazi Kuna vumbi sana, nyumba nyingi Zina quality Duni, huwezi amini hadi kipindi hiki Cha mvua huduma ya maji ni ngumu kupatikana Kwa maeneo mengi hapa mbeya. In short naishi tu mbeya ila nikipata fursa ya kuhama ni haraka sana nyafanya hivyo
Watajie mji wako ili waujue!Kizuri cha kwao wenyeji wa huko! Ila mimi kusema kweli Mbeya uzuri ni chakula tu!
Ila mji wao ni mbovu na hauna mvuto wowote!