Nimesikitiswa sana na wale wasomi wanao jaribu kuaminisha Watanzania kwamba kuna mikopo ya bank za biashara mizuri kwa serikali. Mikopo yenyewe mingi ni ya miaka 5 na riba zinakuwa 8%~10%. Hii mikopo sio mizuri kwa serikali hasa ukizingatia uwezo wetu. Serikali kwa ushauri wangu
1. Wasikope chini ya miaka 10
2. Riba ya mkopo isizidi ukuaji wa uchumi mfano Tanzania ukuaji wa uchumi ni 5%~ 7% hivyo riba iwe hapo katikati . Kama mkopo ni kwa dollar isizidi 5% kwasababu mfumuko wa bei wetu unakuaga 2% zaidi ya USA
Mwigulu acha mikopo ya riba ya juu na muda mfupi hii inaongeza payment amount za mwezi na mwaka na kusababisha pesa nyingi kwenda kwenye mikopo.
1. Wasikope chini ya miaka 10
2. Riba ya mkopo isizidi ukuaji wa uchumi mfano Tanzania ukuaji wa uchumi ni 5%~ 7% hivyo riba iwe hapo katikati . Kama mkopo ni kwa dollar isizidi 5% kwasababu mfumuko wa bei wetu unakuaga 2% zaidi ya USA
Mwigulu acha mikopo ya riba ya juu na muda mfupi hii inaongeza payment amount za mwezi na mwaka na kusababisha pesa nyingi kwenda kwenye mikopo.