sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kubwa zima linawaza ngono!Moja ya faida ni kukwepa zinaa (sex nje ya ndoa)
Shida ni pale inatokea mwanamke anamnyima unyumba mme wake mwaka mzima.
Ni vipi ndoa haiwezi kuvunjika kikristo na mwanaume hawezi kuongeza mke?
Kwamba alitakiwa awaze nini??Kubwa zima linawaza ngono!
Ni tendo la ndoa kenye baraka zote za Muumba linapofanywa na wanandoaKubwa zima linawaza ngono!
Hizo dini zenu za kipumbavu zinazowapa mamlaka ya kuamua kuhusu maisha ya wengine zimewapofusha macho na akili kabisa,inakuwaje hao wanaume wa Kikristo waje kulalamika kwako tu sisi wengine hatuna ushuhuda wa kulalamikiwa nao wewe ni sex worker?hujistukii mimi mwanaume kuja kwako kukwambia ”bwana jana nimenyimwa mkasi na mke wangu”,wewe unajisikia raha na salama kabisa kuambiwa hivyo?Moja ya faida ni kukwepa zinaa (sex nje ya ndoa)
Shida ni pale kuna wanaume wa kikristo wapo ndani ya ndoa wapo wanaolalamika kunyimwa unyumba hata mwaka mzima.
Ni vipi ndoa haiwezi kuvunjika kikristo na mwanaume hawezi kuongeza mke?
hapo hapo kwenye biblia manabii kibao walikuwa na mke zaidi ya moja pindi wakitekeleza majukumu ya Mungu na hakuna sehemu kumekemea kuwa na wake wengi, hata Yesu alitoa mfano mwanaume moja kuoa wake watano.Ndio,hawezi kuongeza mke maana atakuwa mzinzi,na hawezi kuvunja ndoa kulingana na Imani ya kikristo,afuate utaratibu
Hii kitu haichagui umeoa wangapi Mzee! Mwenye mmoja hana tofauti na mwenye 10 ndoa za kimila. Kwani Sulemani alikuwa nao wangapi? Alioa wote kwa siku moja?Moja ya faida ni kukwepa zinaa (sex nje ya ndoa)
Shida ni pale kuna wanaume wa kikristo wapo ndani ya ndoa wapo wanaolalamika kunyimwa unyumba hata mwaka mzima.
Mtihani ni kwamba ndoa haiwezi kuvunjika kikristo na mwanaume hawezi kuongeza mke.
Hali hii imechochea wanaume wengi wa kikristo wanaonyimwa unyumba huanza uzinzi kwa kunununua madada poa, kuwa na michepuko, kujichua, n.k.
Kufanya sex ndani ya ndoa ni tendo la ndoa lenye baraka zote za Mwenyezi Mungu, waweza kufanya sex utakavyo ndani ya ndoa.Hizo dini zenu za kipumbavu zinazowapa mamlaka ya kuamua kuhusu maisha ya wengine zimewapofusha macho na akili kabisa,inakuwaje hao wanaume wa Kikristo waje kulalamika kwako tu sisi wengine hatuna ushuhuda wa kulalamikiwa nao wewe ni sex worker?hujistukii mimi mwanaume kuja kwako kukwambia ”bwana jana nimenyimwa mkasi na mke wangu”,wewe unajisikia raha na salama kabisa kuambiwa hivyo?
Aliyekwambia wake wanne wanamfanya mume asizini nje ya ndoa zake ni nini?mimi ninao rafiki zangu wa dini yako mmoja ana wake watatu mwengine wawili but still wana story za kuchepuka kama walivyo wenzao dini moja mke mmoja wanavyochepuka,wake wanne hawamfanyi mwanaume asiende nje ya mfumo wa maisha kinachochangia ni anapigaje hesabu zake?
Unathibitishaje mtu amenyimwa unyumba?hicho ulichokiandika hapo anaweza akakifanya mwanaume mjinga tu maana mfano Tanzania hii wengi wetu ni maskini.Hatari sana, unaponyimwa unatafuta mwingine tuu wa kudumu unamzalisha unaanza maisha mengine
Hapa tunazungumzia tendo la ndoa ndani ya ndoa, umalaya nje ya ndoa ni maamuzi binafsi ya mtu asie na hofu ya Mungu wala kujua majukumu yake kwenye ndoa.Hata ukioa wanawake 1000 kama wewe ni malaya hauwezi ridhika nao
Unathibitishaje kwamba mimi nanyimwa unyumba?na unathibitisha vipi kwamba mimi nazini nje ya ndoa yangu?Kufanya sex ndani ya ndoa ni tendo la ndoa lenye baraka zote za Mwenyezi Mungu, waweza kufanya sex utakavyo ndani ya ndoa.
Kuwa na mke anaekunyima unyumba huchochea uzinzi nje ya ndoa ni heri kuwe na mbadala wenye baraka za Mungu ikiwemo kuongeza mke ataeweza kuchukua nafasi ya huyo alieridhika anaekunyima unyumba.
Kama mtu unazini nje ya ndoa wakati una uhakika wa tendo la ndoa lenye baraka za Mwenyezi Mungu, hizo ni tamaa za mtu binafsi,
Hapo nazungumzia umalaya ndani ya ndoaHapa tunazungumzia tendo la ndoa ndani ya ndoa, umalaya nje ya ndoa ni maamuzi binafsi ya mtu asie na hofu ya Mungu wala kujua majukumu yake kwenye ndoa.
Umalaya ni maamuzi binafsi ya mtu iwe yumo kwenye ndoa ya mke moja au wengi, hata kama mke wake hana shida bado anatamani kwenda kuzini nje.Hapo nazungumzia umalaya ndani ya ndoa
Hauhitaji hofu ya Mungu ili uishi maisha boraUmalaya ni maamuzi binafsi ya mtu iwe yumo kwenye ndoa ya mke moja au wengi, hata kama mke wake hana shida bado anatamani kwenda kuzini nje.
ni kutokuwa na hofu ya Mungu wala kuyajua majukumu yake ya kuwa muadilifu ndani ya ndoa
Akinyimwa tendo mwaka mzima anapaswa afanyaje?Ndio,hawezi kuongeza mke maana atakuwa mzinzi,na hawezi kuvunja ndoa kulingana na Imani ya kikristo,afuate utaratibu
Ukishaanzisha tu familia nyingine nje basi hakikisha kiuchumi upo vizuri.Unathibitishaje mtu amenyimwa unyumba?hicho ulichokiandika hapo anaweza akakifanya mwanaume mjinga tu maana mfano Tanzania hii wengi wetu ni maskini.
Uache mke wako nyumbani ukatafute kimada umpangie nyumba unakoishi sijui umejenga au umepanga una watoto wakubwa watatu wanasoma,unatakiwa uelewe unapoanza kuigawa shilling kama hivi kama wanao walikuwa wanasoma shule nzuri tayari umeyumba inabidi uwapeleke shule za kawaida bora liende,huyo nae ukimzalisha kesho akakunyima huo unyumba utatafuta mwengine wewe umekuwa umbwa?