Mpenda vurugu
Member
- Apr 7, 2024
- 98
- 621
A.K.A mwana haramuAnaitwa Nguruwe poli ama NGIRI
Ni mnyama anae trend sana kwenye Kila Reels ya social media. Na anauwezo wakukimbia haijalishi adui ametokezea wapi, na anauwezo wakumtisha yoyote adui awe simba ama fisi au chui na viboko wanamuogopa. Napenda anavyo kimbia mwamba.
Wewe unamjuaje?
Karibu nasoma kila comment
1. Zingatia hapo kwenye redAnaitwa Nguruwe poli ama NGIRI
Tamu kuliko hii ya majumbaniAnaliwa..??
Hasa upate Supu ya masikio au ulimi.Analiwa..??
Kuna mdau ananiambia pia ukipata supu yake ya pua hata mkongo ukasome...🤣Tamu kuliko hii ya majumbani
Kwa tabia hiyo mtu ukiitwa ngiri yakupasa urushe ngumi 🤣Tatizo mjinga, hukimbia na kujisahau kwamba anakimbia nini au anamtoroka nani, hivyo ukitaka kumfuma usishindane naye, muache achomoke kisha mfuate taratibu unaweza kushangaa kageuza anarudi ulipo.
Huyo mzee ni hatari Hana V18Cheetah anakimbia zaidi ya 100km/h sasa huyo wild boar anafika hio speed..
Anapenda vuruguAna mikwara sana
Wale wa polini kila mtu anagongaA.K.A mwana haramu
😂👍Hasa upate Supu ya masikio au ulimi.
Anaitwa Nguruwe poli ama NGIRI
Ni mnyama anae trend sana kwenye Kila Reels ya social media.
Na anauwezo wakukimbia haijalishi adui ametokezea wapi, na anauwezo wakumtisha yoyote adui awe simba ama fisi au chui na viboko wanamuogopa.
Napenda anavyo kimbia mwamba. Wewe unamjuaje?
Karibu nasoma kila comment