Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du! miguu myembamba kama mikono!! utafikiri kapiga sarakasi!
TID anabore, onetime aliwahi pigiwa simu na Sud Brown akapokea mkewe akaanza kutukuna matusi yasiyofaa hata mbele ya jamii, huku akijua aarekodiwa. Ni Kiburi na dharau tu. Asipobadirika atapotea
Oy wakuu uko UK pesa zake alipata manake nilisikia analalamika kuhusu pesa za shoo ya UK,
SPORAH: Hapa watu wanasema TID amepungua sana,kitu ambacho kinasikitisha,amepungua sana mwili umekuwa...amekuwa kama mtoto mdogo,sahivi hata akivaa nguo hapendezi tena kwasababu either basi labda ni pombe kama ni pombe basi unakunywa sana....
TID: Sometimes i need to be who want to be,no body tells me unapungua or hupungui,i wanna be flexible with my music and ma work,i think this is a good look i need to look,i don't wanna be like anybody,i wanna be special.I am fit,am healthy,how we care about what people say abt me...
SPORAH: But we care abt u...
TID: Its ma weight,its ma life,its ma health.If i am good am good...
SPORAH: Do u think u have good health at the moment?
TID: Yea am fine,am healthy
SPORAH: I dont think ur healthy though...
TID: Are u my doctor?A u tryn be my doctor?
SPORAH: No u dont look healthy..
TID: U think so but i look healthy,u havent taken me to hospital how do u prove such a thing?
SPORAH: I am among people see u daily,
TID: People seeng me? Ur first seeng me today in uk...
SPORAH: I am ur big fan,and i love ur music and i watch ur music daily
TID: So u have a point,u brought me today to tell me unhealthy, u wanna have an interview with unhealth person?
SPORAH: No,i really want an interview with a healthy TID.(Alipoona mambo yanaanza kuwa magumu ikabidi ajifanye anapotezea hiyo mada kwa kuuliza maswali mengine kutoka kwa fans) but TID akawa anaendelea kuongea.....
TID: I really want appriciate what ur saying,if u coming to the point like telling me straight that am unhealthy,am healthy, ur not a doctor,u have unchecked me yet so dont try ********** (Ikabidi waikate hiyo sehemu,teh..!)
NB: HIYO NI SEHEMU TU YA INTAVYUU,SORRY KAMA NTAKUWA NIMEWANUKUU VIBAYA,SI UNAJUA TENA 'KIZUNGU'
Huyu jamaa daah kaaz kwelikweli anaoishi nao wana kazi.Salama mwenyewe na uchiz wake huwa anakuwa mpole akimuhoji mnyama
TID anabore, onetime aliwahi pigiwa simu na Sud Brown akapokea mkewe akaanza kutukuna matusi yasiyofaa hata mbele ya jamii, huku akijua aarekodiwa. Ni Kiburi na dharau tu. Asipobadirika atapotea
huyu mnyama chura kiboko yake ni hasheem na ndio angekuwa anamfanyia intrview adabu ingekuwa mbele
Sijaona hata jibu moja lililonje ya mstari!
Interview iko kimajungu sana ilibidi maswali yake mixed yale ya mafanikio na yale negative sa kila swali unaponda tu mara umwite mtu mdokozi huyo presenter nae hana elimu af nshamwona interview nyngne ana vitabia vichafu maneno ya chumban anaongea studio
Maswali mengi yaliyofatia aliyokuwa anaulizwa alikuwa anajibu 'NO COMENT'
Anafaa kufanya kazi kwa Shigongo,maana magazeti yake nayo yamebase sana kwenye negativity kwa ishu za mastaa eti ndo yanauza,bila kujali wanaharibu image kwa huyo staa kwa jamii/mashabiki wake.Huyu dada inaonekana sio mtu mzuri,but bahati mbaya kakutana na mwendawazimu,alitamani aombe po